Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

binafsi nisingeelewa,ila nisingekosa kipindi chake
Hivi wanafunzi wako wa kiume kweli huwa wanakuelewa ukiwafundisha na hiyo shepu yako Boss Lady?
Vijana wenyewe hawa anazingua unamwambia njoo ofisini..anakuja unamwambia haya hebu jielezee nini kimetokea anaelezea kisha unamwambia haya andika barua ya haya maelezo ulosema hapa ukiri kabisa anakujibu mwalimu barua yanini Wakati nimeshakuelezea hapa jamani maelezo ni hayahaya mwalimu !!
 
Alikuwepo mwalimu mmoja alikuwa anafundisha kiingereza asee,, alikuwa anaitwa sanga,, nyie nyie yule madam ni fayaaa msemo wa zaiid "alikuwa amejaza nyuma kama contena" af alikuwa anapiga vimini af nlikuwa nakaa mbele akifika tu mie begi nalipakata maana najua muda wowote hali si hali
Mie sitaki sheedaaaa kabisa msukuma!!
 
Sitaki makwazo Vijana wa mama ma mchungaji ni sketi na shati sketi mshazari tu ila shati hapa mbele juu Nilitaka kushona denda fundi alichoshona sasa utacheka.. Ngoja badae baridi ipungue nivue kikoti nijiselfii shati ucheke hii denda ! Hadi siwezi kuivaa bila kikoti kwa juu!View attachment 2202107
Umependeza sana.
 
Back
Top Bottom