Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sitaki makwazo Vijana wa mama ma mchungaji ni sketi na shati sketi mshazari tu ila shati hapa mbele juu Nilitaka kushona denda fundi alichoshona sasa utacheka.. Ngoja badae baridi ipungue nivue kikoti nijiselfii shati ucheke hii denda ! Hadi siwezi kuivaa bila kikoti kwa juu!View attachment 2202107
Hivi wanafunzi wako wa kiume kweli huwa wanakuelewa ukiwafundisha na hiyo shepu yako Boss Lady?
 
Sitaki makwazo Vijana wa mama ma mchungaji ni sketi na shati sketi mshazari tu ila shati hapa mbele juu Nilitaka kushona denda fundi alichoshona sasa utacheka.. Ngoja badae baridi ipungue nivue kikoti nijiselfii shati ucheke hii denda ! Hadi siwezi kuivaa bila kikoti kwa juu!View attachment 2202107
Huyo fundi wako jamani, inabidi tum-replace sasa. Sio kwa hizo hasara

Kwa kweli jitahidi tu vijana wasipate makwazo, mitoto yenyewe hii😁😁
 
binafsi nisingeelewa,ila nisingekosa kipindi chake
Halafu somo lake gumu. Angekuwa anafundisha Kiswahili au Civics afadhali. Sasa Kemia dah! Mi ningefeli tu kwa kweli

IMG_20220426_132428_585.jpg
 
binafsi nisingeelewa,ila nisingekosa kipindi chake
Alikuwepo mwalimu mmoja alikuwa anafundisha kiingereza asee,, alikuwa anaitwa sanga,, nyie nyie yule madam ni fayaaa msemo wa zaiid "alikuwa amejaza nyuma kama contena" af alikuwa anapiga vimini af nlikuwa nakaa mbele akifika tu mie begi nalipakata maana najua muda wowote hali si hali
 
Back
Top Bottom