Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ohooo
Naomba unifundishe
Bagia za dengu hazina process ndefu unakula chap tu
Mahitaji

Unga wa dengu kiasi chako
Amira
Kitunguu
Karoti
Hoho
Majani ya kotmiri
Maji
Chumvi

Maandalizi
Tumia bakuli lenye nafasi mimina unga na viungo vyote pamoja
Tumia uma au kijiko kuvuruga mchanganyiko wako
Ukiisha kuwa mlaini bila kuwa mabuja na usiwe mzito au mwepesi sana .
Acha mchanganyiko wako for 15 had 20 minutes
Weka karai lako jikoni lipate moto sawa sawa
Tumia kijiko cha chakula kuchotea kutia kwenye mafuta hakikisha zisizisambaa kwa sehemu kubwa . Acha iive na upande wa pili hadi kuwa brown mpauko
 
I have next door neighbors that are Muslim and we have become friends, he invited me today.. am non muslim fasting for ramadan, Am fasting in a bid to achieve an excellent state of health.
Ooh nice.
Ni vyema ndugu kukaa pamoja kwa amani
Looks like upo friendly
 
AF5381D4-B0B5-4D2E-B7CB-AD7C600A16DF.jpeg
 
Bagia za dengu hazina process ndefu unakula chap tu
Mahitaji

Unga wa dengu kiasi chako
Amira
Kitunguu
Karoti
Hoho
Majani ya kotmiri
Maji
Chumvi

Maandalizi
Tumia bakuli lenye nafasi mimina unga na viungo vyote pamoja
Tumia uma au kijiko kuvuruga mchanganyiko wako
Ukiisha kuwa mlaini bila kuwa mabuja na usiwe mzito au mwepesi sana .
Acha mchanganyiko wako for 15 had 20 minutes
Weka karai lako jikoni lipate moto sawa sawa
Tumia kijiko cha chakula kuchotea kutia kwenye mafuta hakikisha zisizisambaa kwa sehemu kubwa . Acha iive na upande wa pili hadi kuwa brown mpauko
Asante
 
Mahitaji
Bagia za kunde
Nunua kunde kiasi chako
Kitunguu maji
Swaumu
Tangawizi
Unga wa ngano
Na vingine utakavyohitaji

Maandalizi
Osha kunde zako vizuri baada ya hapo loweka kunde zako kwenye bakuli .. ziache hapo kwenye maji kwa usiku mzima ili ziweke kulainika .

Kesho yake zitoe kunde zako kwenye maji halafu uweke kwenye kinu / blender / food processor ili uzitwange na kulainika wakati kunde zinatwanga kata mahitaji yako hiyo vitunguu na tangawizi baada ya kunde kusagika changanya vitunguu vyako kwenye mchanganyiko wa kunde weka na chumvi kwa ajili ya ladha ..

Andaa unga wa ngano vizuri na uanze kutengeneza vidunguli /vitonge vya duara huku ukishikizia na ngano ili isiweze kuachia ..
Baada ya hapo andaa mafuta kwenye karai yapate moto then uweke kunde zako zikageuka kuwa kahawia hapo epua zipo tayari kwa kula .
Kujamba sasa
 
Back
Top Bottom