Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Bagia za dengu hazina process ndefu unakula chap tuOhooo
Naomba unifundishe
Mahitaji
Unga wa dengu kiasi chako
Amira
Kitunguu
Karoti
Hoho
Majani ya kotmiri
Maji
Chumvi
Maandalizi
Tumia bakuli lenye nafasi mimina unga na viungo vyote pamoja
Tumia uma au kijiko kuvuruga mchanganyiko wako
Ukiisha kuwa mlaini bila kuwa mabuja na usiwe mzito au mwepesi sana .
Acha mchanganyiko wako for 15 had 20 minutes
Weka karai lako jikoni lipate moto sawa sawa
Tumia kijiko cha chakula kuchotea kutia kwenye mafuta hakikisha zisizisambaa kwa sehemu kubwa . Acha iive na upande wa pili hadi kuwa brown mpauko






