Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Yaani ni mnene juu chini mwembamba 😬Kichwa tena?![]()
Yaani ni mnene juu chini mwembamba 😬Kichwa tena?![]()
Kweli aisee zinanoga balaaa
Uziwekee kitunguu swaumu , tangawizi na pilipili kwa mbali .

TukuoneYaani ni mnene juu chini mwembamba![]()
Hizi zinanogesha kwa bagia za kunde .. unaweza kukatia na kitunguu maji pia ..Sidhani hata kama huwa wanaweka hivyo vitu
TuoneBasi we pacha wangu![]()
Hahaha yani watu sebuleni wanaanza kukufata taratibu huko jikoni .Na kitunguu maji pamoja na majani ya giligilani naanza kudokolea jikoni![]()


Daah hatutofika mbinguni. NimeachaMama chungaji
Neemebarikoowa
Ndio maana mjengo wanguHahaha yani watu sebuleni wanaanza kukufata taratibu huko jikoni .
Mimi mdokoaji pia yaani wanakuliza maswali hujibu maana una kitu mdomoni![]()


Hahaha yani watu sebuleni wanaanza kukufata taratibu huko jikoni .
Mimi mdokoaji pia yaani wanakuliza maswali hujibu maana una kitu mdomoni![]()
Kama hivi kipenziHauna kapicha hapo tuonepo mikono ilivojaa ???😜😉
Swali gani tena?Bado nna swali
Kwako pia![]()
Yaani wewe. Umenikumbusha lile tege la siku ileKama hivi kipenziView attachment 2201625
hahahaaaKama hivi kipenziView attachment 2201625
Hahahaha jamaniNdio maana mjengo wangu
Jiko litizame sebule![]()
Kweli kabisaInabidi siku tupeane recipe za bites...
Yaani acha tu 😬😂😂😂Yaani wewe. Umenikumbusha lile tege la siku ile