Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Fursa kwa ladies mnaokidhi vigezo

IMG-20220426-WA0061.jpg
 
Ubaya ni kwamba haziko regulated na hakuna anayejua zinakotoka wala kilichomo. Labda ukizipata kwa Wachina au Wajapan wenyewe...na kumbuka kuwa dawa yo yote inayosaidia kupunguza uzito basi ini linahusika moja kwa moja. Ndo maana haishauriwi sana kutotumia dawa hizo kiholela tu.

Na endelea na hiyo tabia ya kufanya comprehensive annual checkup. Wanaume tuko wavivu sana na mambo yakija kugundulika yanakuwa tayari yako hatua za mwisho. Ndo maana tunakufa mapema.

Mwaka juzi nilipata scare ya kufa mtu na daktari alisema kuwa nina bahati ya mtende kwa sababu ningesubiri mpaka nianze kuumwa ingekuwa game over. Ukweli ni kwamba magonjwa mengi (yakiwemo kansa) yanaweza kutibika yakigunduliwa mapema.

Wanaume tuwe na tabia ya kucheki afya zetu angalau mara moja kwa mwaka. It can save our lives
Asante sana mkuu, umeniongezea kitu cha kuzingatia hapa. Checkup kwa mwaka huwa nafanya mala mbili au tatu. Hizi dawa huwa nazichukua kwa wakole wana clinic yao pia huwa nakutana hata na baadhi ya viongozi wakubwa wa hii nchi yetu.. ila umenifungua sana macho
 
Ajajajajajajajajajajajajajajja!!Utatutoa roho ujue!! Halafu vyeusi sasa ile nayo Itakua Ndefu nene nyeusi! Kelsea njoo ona hivi vidole walahi
Bosi ledi bana...

Halafu usisahau mwenye hivyo vidole ni Msukuma original. Anakula migagani, mayoba/mūūli, manūmbū, bugali bonkūla, michembe, mabele maboboto....Bagosha!
IMG-20180626-WA0000.jpg
JamiiForums-466869383.jpg
 
Back
Top Bottom