Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
tupia basi
tupia basi
Huo ugali ni wa ulezi au??Bosi ledi bana...
Halafu usisahau mwenye hivyo vidole ni Msukuma original. Anakula migagani, mayoba/mūūli, manūmbū, bugali bonkūla, michembe, mabele maboboto....Bagosha!
View attachment 2201557View attachment 2201559
Usiwaze babu... vipi nikuletee now now???Usisahau kuniletea na 🍷, hizo Kwa sisi Wazee zinaimarisha kumbukumbu 🤪
utakua wa mtama nadhaniHuo ugali ni wa ulezi au??
Yummy
Mambo mtoto mzuri TinsleyYummy
Zinavutia
🙆🏾🙆🏾🙆🏾😏😏😏😏
🥸🥸🥸🥺🥺🥺🙆🏾🙆🏾🙆🏾
God is good.Poa vipi habari ya leo ?
So far so good ..God is good.
How's your day going?
TumogheleeView attachment 2201551
Mghonile Mbeya
Ngoja kesho nianze mdogo mdogo kujifunza sambusa

Sambusa tamu kwenye kula ila kutengeneza ni masaaNgoja kesho nianze mdogo mdogo kujifunza sambusa![]()
! Lazima anene kwa lugha
!! Una utani na Anne wewe!

Natamani nijue kupika maana napenda sana sambusaSambusa tamu kwenye kula ila kutengeneza ni masaa
Tuone sasa track ilivyoLeo mazoezi mnafanyia nyumbani !
View attachment 2201598