Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,221
ana hio body moja mattatta sana!!!Wige ni mwanasiasa![]()
ana hio body moja mattatta sana!!!Wige ni mwanasiasa![]()
Sijui anataka kuwanyima nini WigelekeloHataki kutuonyesha...![]()
😌😌😌 wife nitake radhi usitutafute ugomvi ukajilaumuNataka unifundishe ubishi na uchawa nasikia watu wa kigoma ni Walimu
malaika Lizzy nakuona 😊😊
kumbe ndio maana upo very portable. aisee kwa hiyo wewe style zote utawezana nazo
Nje wapi?Huko nje si mchezo![]()



Nje wapi?
Hata wewe. Jaribu kuondoka kwa kamanda Pep ukione cha moto![]()


Hiyo sentensi ilinichekesha.Nje wapi?
Hiyo ni kanuni ya jumla. Hata wewe. Jaribu kuondoka kwa kamanda Pep ukione cha moto huku nje![]()
Umefuraaahi
🤣🤣🤣kumbe ndio maana upo very portable. aisee kwa hiyo wewe style zote utawezana nazo
Kuwa mwangalifu pia. Baadhi ya hizi herbs zinaweza kukuharibia ini na figo hasa ukizitumia kwa muda mrefu. Kuna kesi nyingi zinarindima kuzihusu...mda wa kuongeza kinga, kutoa sumu mwilini, kuimarisha mifupa na kukonda zaidiView attachment 2201373


🙏🙏 sikuwa nafahamu hili, umenifanya nianze kufatilia. Ingawa namshukuru Mungu nimefanya checkup mwili mzima, kuanza ini, figo , na kila kitu kipo okayKuwa mwangalifu pia. Baadhi ya hizi herbs zinaweza kukuharibia ini na figo hasa ukizitumia kwa muda mrefu. Kuna kesi nyingi zinarindima kuzihusu...![]()
Hivi hili jimbo

Mjeda!!!😉Hivi hili jimbo
Mwakilishi ni nani![]()