Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Hivi mfungo unaisha lini?SYB
Nitamkumbusha ili
Akukumbushe wewe
Lazima aiweke hiyo comment tuione...
Atakumbushwa tu uzima ukiwepo


Hivi mfungo unaisha lini?SYB
Nitamkumbusha ili
Akukumbushe wewe


Hicho siyo Kisukuma sis



Asante japo tunagombana na wasusiNywele yako imejaa had raha.

Mimi nataka nianze kusuka..
Umekuza😍Umejitahidi mwaya mm huwa kujisuka mwenyew hivo siwezlabda kuvitwist ovyo ovyo nikimaliza huwa nacheka bala
View attachment 2200390
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kama unaweza kuzikuza zikuze alafu nywele ngumu ndo nzuri zikikua zitalainika zenyewUmekuza
Uko vizuri
Mimi naona bora nijisuke maana nipo selective sana kwenye mafundi.
Nataka nizikuze..
Nimechoka kunyoa
Yah zikikua zinalainika zinapendeza.Kama unaweza kuzikuza zikuze alafu nywele ngumu ndo nzuri zikikua zitalainika zenyew
Mm nilikuwa napata shida mwanzo sahiz kidogo afadhali
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mbona unaweza vizuri tuUmejitahidi mwaya mm huwa kujisuka mwenyew hivo siwezlabda kuvitwist ovyo ovyo nikimaliza huwa nacheka bala
View attachment 2200390
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Pole zitakuaYah zikikua zinalainika zinapendeza.
Ngoja nianze...nikifumua hapa angalau zitakuwa sasa zimejiandaa Kwa kusukwa.
Mi nilikuwaga nazo ndefu nikakata.
Najuta![]()
#184111Hivi mfungo unaisha lini?
Lazima aiweke hiyo comment tuione...
Atakumbushwa tu uzima ukiwepo![]()
Uje sikumoja nikusuke dearMbona unaweza vizuri tu
Huwa natamani natural hairstyle sema ndo hivyo





Ooh thank you

Unatubania sana picha![]()
Piga moja kwa mbali then weka emoj kwa usoha ha ha hamna tatizo uso unajaa kwenye Camera nzima
Basi hapo hauna shida aisee tumbo huwa linakera .. Mimi Ninacho katumbo ka chipsi au nikishiba kinaonekana .
Ooh can't wait for the update nisikie jinsi ulivyo shusha hizo calories .