Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,829
Hivi mfungo unaisha lini?SYB
Nitamkumbusha ili
Akukumbushe wewe
Lazima aiweke hiyo comment tuione...
Atakumbushwa tu uzima ukiwepo [emoji16][emoji1545]
Hivi mfungo unaisha lini?SYB
Nitamkumbusha ili
Akukumbushe wewe
Hicho siyo Kisukuma sis [emoji16][emoji16][emoji16]Kumbe nikajua kisukuma nilitaka nikujibu[emoji16][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Asante japo tunagombana na wasusi[emoji17]Nywele yako imejaa had raha.
Mimi nataka nianze kusuka..
KumbeHicho siyo Kisukuma sis [emoji16][emoji16][emoji16]
Umekuza😍Umejitahidi mwaya mm huwa kujisuka mwenyew hivo siwez [emoji16][emoji16] labda kuvitwist ovyo ovyo nikimaliza huwa nacheka bala
View attachment 2200390
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Heeh[emoji17]Hii bagosha! [emoji91][emoji91][emoji91]
Kama unaweza kuzikuza zikuze alafu nywele ngumu ndo nzuri zikikua zitalainika zenyewUmekuza[emoji7]
Uko vizuri[emoji7][emoji7][emoji7]
Mimi naona bora nijisuke maana nipo selective sana kwenye mafundi.
Nataka nizikuze..
Nimechoka kunyoa
Yah zikikua zinalainika zinapendeza.Kama unaweza kuzikuza zikuze alafu nywele ngumu ndo nzuri zikikua zitalainika zenyew
Mm nilikuwa napata shida mwanzo sahiz kidogo afadhali
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mbona unaweza vizuri tuUmejitahidi mwaya mm huwa kujisuka mwenyew hivo siwez [emoji16][emoji16] labda kuvitwist ovyo ovyo nikimaliza huwa nacheka bala
View attachment 2200390
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Pole zitakuaYah zikikua zinalainika zinapendeza.
Ngoja nianze...nikifumua hapa angalau zitakuwa sasa zimejiandaa Kwa kusukwa.
Mi nilikuwaga nazo ndefu nikakata.
Najuta[emoji23]
#184111Hivi mfungo unaisha lini?
Lazima aiweke hiyo comment tuione...
Atakumbushwa tu uzima ukiwepo [emoji16][emoji1545]
Uje sikumoja nikusuke dear[emoji17]Mbona unaweza vizuri tu
Huwa natamani natural hairstyle sema ndo hivyo
Ooh thank you [emoji1545]
Unatubania sana picha[emoji4]
Piga moja kwa mbali then weka emoj kwa usoha ha ha hamna tatizo uso unajaa kwenye Camera nzima
Basi hapo hauna shida aisee tumbo huwa linakera .. Mimi Ninacho katumbo ka chipsi au nikishiba kinaonekana .
Ooh can't wait for the update nisikie jinsi ulivyo shusha hizo calories .