Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kitambo nkamuEna mukamu! Niliona sehemu upo kupika ushamaliza nn?![]()
Nakula
Kitambo nkamuEna mukamu! Niliona sehemu upo kupika ushamaliza nn?![]()
Au umejisahau!?!
Unashiba kweli? Kwa misosi hii hata ule mara 10 hamna kitu
Hapa unashiba kwel?
Nimejisahau na nini tena?Au umejisahau!?!
HeeUnashiba kweli? Kwa misosi hii hata ule mara 10 hamna kitu

Unaonja tuHee
Mchumba una pipa tumboni?
Halafu nimegundua ukila sanaaaaaa ndogo swaumu inakuwa kali.
Jana usiku nimekula kishua sana na nikaweza kusurvive leoView attachment 2200553
Ewaa nkamuSafi naona uko vizuri jikoni![]()
Ngoja Coca atakuja kukukumbushia ile mechi uliyoupiga mwingiNimejisahau na nini tena?
EwaaaHapa unashiba kwel?
Umasema huna shughuliEwaaa
Mukamu usiku sina shughuli yotote zaidi ya kulala

Nkamu Hiyo nmeikuta humu humuEwaa nkamu
Naona umenyonga mtu shingo
Manye gwise ughoghe mukamu.



We mukamu mbona po gwatisha ipicha bho tukali pakujhishimikisha kanunu?
Ninayo ya kulala usingiziUmasema huna shughuli![]()
Wewe mukamu umulume????Ewaaa
Mukamu usiku sina shughuli yotote zaidi ya kulala