Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sad generation.

We are dating people who are busy doing meet ups with other people while we still in the picture, people who are brave to sleep with someone else and come back to sleep with you. A person who will look deep in yours eyes & say I love you while they don't mean it.
Sasa tufanyaje wakati wenyewe wanakwambia mbususu utapewa ukiwa unahudumia au kama wewe ni handaome boy.. so kuchapiwa kupo pale pale
 
Yan mie Basi nimekaa na mlevi na nimeshindwa kunywa
Nilitolewa na rafikiyang na boyfriend wake tumefika agiza si nikaagiza soda nilichambwa sisahau nikasema mmenitoa mnifundishe ulevi nipeni tu ninywe izo soda nilipiga tatu nikabeba takeaway na Azam embe nikasema nitaamka nazo alafu sinahabari nilinuniwa balaa sio kwa kila dakika chooni

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Huyo shoga ako hakuwa mwema.. mwiko kwangu kukufundisha kitu ambacho najua sio kizuri, wewe ukiamua kukitenda ukitende kwa hulka zako.

Mimi nakunywa nikiamua, kama sijaamua hakuna mtu anaweza nishawishi.
 
Huyo shoga ako hakuwa mwema.. mwiko kwangu kukufundisha kitu ambacho najua sio kizuri, wewe ukiamua kukitenda ukitende kwa hulka zako.

Mimi nakunywa nikiamua, kama sijaamua hakuna mtu anaweza nishawishi.
Anaependa pombe alafu sijui alijifunzia wapi siku ya kwanza namuona anakunywa nilistaajabu aisee naona alikuwa anatafuta kampani

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom