Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,222
😄 HaijapoaPole sana
😄 HaijapoaPole sana
Geuza camera tumuone na mpiga picha
Pole mkuuHaha nimeishia ku like tu huwezi amini, nimesubiri tigo wakaniwahi
Ukiselfika itapoa😁😄 Haijapoa
Ondoa emoj sasa.....
Ganonu?Ganhonu
Midimu ya ng'wa lukago
Dogosika dopyagha ghete




Ahsante mkuu 😀Pole mkuu
Mimi nilihisi umeziwahi wewe baada ya kuona like za chap
Usisahau kuselfika mkuu
Nūgūniwīla ndūhū bageshiNagodochimanga sana odwanike domumu




Mazingira sidhani kma ni tatizo maana nasikiaga wengine wanaonjaga hukohuko inakopikwa
Wanywa gongo huonagi midomo yao ilivyoungua?
Halafu huwa haijulikani ina % alc per vol ngapi, pia mazingira ya uandaaji huwa si rafiki.
Na ile kuwa cheap ndio maana inamaliza watu sana.

ya Moto Moto Hee bhabha, mwangarukaGanhonu
Midimu ya ng'wa lukago
Dogosika dopyagha ghete
Solimeti unajua kisukuma? Uko vizuriNūgūniwīla ndūhū bageshi
Nangī gūlīho mhayo nagūkenije nzunone?![]()
Tumemiss selfie yako nkamuHee bhabha, mwangaruka
Jana tu nimetupia nkamu, hujaiona?😜Tumemiss selfie yako nkamu
Ayaaa 🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️..........Jana tu nimetupia nkamu, hujaiona?😜
Kesho sibanduki wallahLeo sina jipya mkuu.. kesho tutaselfika.. sitofuta hadi uone 😀
Ewaaaa......
Yako?Ewaaaa......
Mambo si hayoo
UsibandukeYako?