Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,479
- 203,141
🤣🤣🤣🤣 vijana mna mambo mengi 🙌Bila hyo picha isingeonekana vyema![]()
🤣🤣🤣🤣 vijana mna mambo mengi 🙌Bila hyo picha isingeonekana vyema![]()
🤔🤔🤔🤔🤔 hivi ulishahama msamvu???Mhm kumbe hii avatar yako ina akisi uhalisia wa mambo. Kweli mwanamke tako🍑🍑🍑🍑
M
Mzee umetisha...au una company ya warembo....tena naona una geti la remote wakifika tuu unawafungukia bolt mpaka ndani ya mjengo


mzee kuna mabint wa pastor uwa wanakuja nawafunza piano getoDuj sasa wakiona vinywaji hivyo sii wanawaze leta story za ule wimbo wa binti mlokolemzee kuna mabint wa pastor uwa wanakuja nawafunza piano geto
Hebu tulia basi😂😂😂😂😂😂😂Umegupia???
Hiyo hatuijui.
Kinyakiwize hakiruhusiwi hapa
Me najua tu vitunguu na yebosijui nama krochi…
Nimemtumia picha nilizokuwa nimesuka Decemberakanijibu unazingua sana.. nilisuka, January to February nikawa nachana… sahivi nimenyoa, tena nimenyoa chini kabisa
Ah nilishahama zamani....sasa nipo kaliua huku tabora....dah hili tako leo litanikosesha usingizi🤔🤔🤔🤔🤔 hivi ulishahama msamvu???
Hio tv ya chogo kabisa naiona tena nchi 75 na nusu.Camera tu hio mkuu mie flat screen kabisa!!🙃 Ila asante ✌️✌️
Kichwa gani kizuri? Hiki kirefu kama panga? Hahaa nakaza tu 😅Ukiwa hausuki misuko unaionea kwa picha tu
Umeshazoea zako kunyoa na una kichwa kizuri cha kunyoa maana unapendeza tu .
Kunyoa raha hupotezi hata muda asubuhi ukiwa unatoka .
Beautiful unapendeza
Jilipue tu Mkuu kama huna msaada wa karibuAh nilishahama zamani....sasa nipo kaliua huku tabora....dah hili tako leo litanikosesha usingizi

Alikua bizi na kakake wanapiga tu rodi tripu twao uchwara twa tip-top/mwembechai. Mara jangwani/faya.Huo mkutano uliambatana nanani lakini ukiamua Anne anazurura tu huku???🤔
Wooi Mcute


Hio tv ya chogo kanisa naiona tena nchi 75 na nusu.
Basi tu, ngoja nife kijerumani na tai yangu shingoni, kama mimi pisi kama hii naanza kulamba unyayo wa miguu kwa hasira.
Shape sio muhimu ila kikubwa ni kuwa unapendezaKichwa gani kizuri? Hiki kirefu kama panga? Hahaa nakaza tu![]()
Alikua bizi na kakake wanapiga tu rodi tripu twao uchwara twa tip-top/mwembechai. Mara jangwani/faya.
Nikamchukua dadangu Heaven Seant tukatimkia zetu Mbarali kupiga faya
Wacha nami nigupie nizame kwenye mkeshaHebu tulia basi😂😂😂😂😂😂😂
Unanichonja 🤣🤣 badala ya kuni convinceBeautiful unapendeza
Dimples ile