Tunaona hata wengi wao wanavyowatreat kwenye ndoa hao wanawake waliohustle nao; full manyanyaso. Na wengine waliachwa kwa tabia mbaya; ila wanaishia tu kulaumu kuwa ukiwa huna pesa hakuna mwanamke atakayekupenda. Sasa uvumiliwe na mitabia yako kibaya kisa maskini? Na ndiyo hao hata akipata pesa anataka akutreat kama one of his object; imelala yooooooo
Kabisaa, me nashangaaga, mdada akichelewa kuolewa, ooh alikua anachagua sana, ooh alikua anadanga etc etc.. hivi wanajua upande wa pili ni vitu gani huwa vinaendelea kweli ?? Wanawake tunavumilia sana sanaa basi tu..
Kabisaa, me nashangaaga, mdada akichelewa kuolewa, ooh alikua anachagua sana, ooh alikua anadanga etc etc.. hivi wanajua upande wa pili ni vitu gani huwa vinaendelea kweli ?? Wanawake tunavumilia sana sanaa basi tu..