Kwenye burial service ya mama mkwe wake; wambea tulisema ana mimba, hata Ile loose dress yake ya bridal shower; ndiyo tukapiga tiki kabisa. Sasa zile corsets zake kwa kweli katufuruga wambea😁😁. Mungu akampe haja ya moyo wake.
Kwenye burial service ya mama mkwe wambea tulisema ana mimba, hata Ile loose dress yake ya bridal shower; ndiyo tukapiga tiki kabisa. Sasa zile corsets zake kwa kweli katufuruga wambea
kitambo sana...nilitaka kuolewa nilipomaliza form 6 ndugu wakakataa bado mdogo.... akasubiri huku tunaiba iba ila nikama nilikua nimeolewa nae tu kwani likizo zote za chuo muda mwingi nilikua naenda kwake ananihudumia kama mkewe Ndugu zake wanajua wangu wanajua.. 3rd year akanitundika mimba! Na tukafunga nae Ndoa rasmi 2016! Sasa tuna watoto wawili