Kuna watu niliwaambia hii mechi tushaimaaliza kabla hatujacheza.
Tutakachofanya ni kuwapunguzia tu idadi ya magoli.. badala tuwanyuke 5 kama mwanzo basi moja tutapunguza ili kuwapunguzia kutokujisikia vibaya sana.
Kiukweli Jana mchana niliangalia marudio ya mechi ya kwanza ..hadi huruma iliniingia jamani.
Wale wachezaji wa manure nao ni binadamu;wanahitaji huruma yetu liver.