Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Oi oi shangazi😂😂😂😂Ukipotea tunapooza sana mpaka tunaingilia shughuli zako za u mc![]()
Oi oi shangazi😂😂😂😂Ukipotea tunapooza sana mpaka tunaingilia shughuli zako za u mc![]()
Anavonipenda kufaaaa🤸🤸🤸🤸hebu mniache na mjeda wangu kila mmoja apambane na hali yake mazee mwisho wa siku kila mmoja atajibu dhambi zake!😂🤗🤗🤗Boss ledi uko na hakika mjeda alikusamehe kweli?
Dah!Asante,nikisimama kigodoro kinakaa vibaya![]()
Unanichoma boss ledi
Na anakupenda kweli laiti ingekuwa hawa vichomi wetu yaani akinusa tu harufu ya Usaliti ni kipigo cha mbwa talaka inafata kwa wazazi 😬Anavonipenda kufaaaa🤸🤸🤸🤸hebu mniache na mjeda wangu kila mmoja apambane na hali yake mazee mwisho wa siku kila mmoja atajibu dhambi zake!😂🤗🤗🤗
Weee Wacha wee🤗Anavonipenda kufaaaa🤸🤸🤸🤸hebu mniache na mjeda wangu kila mmoja apambane na hali yake mazee mwisho wa siku kila mmoja atajibu dhambi zake!😂🤗🤗🤗
Dah!
Nimepitwa.
Omujungu!
This hurts!

Siyo poaPole sana mjomba,next time![]()

Bado Mimi siamini aisee..Na anakupenda kweli laiti ingekuwa hawa vichomi wetu yaani akinusa tu harufu ya Usaliti ni kipigo cha mbwa talaka inafata kwa wazazi 😬
Na anakupenda kweli laiti ingekuwa hawa vichomi wetu yaani akinusa tu harufu ya Usaliti ni kipigo cha mbwa taraka inafata kwa wazazi 😬
Hio sio kesi yanguBado Mimi siamini aisee..
Yaani wabongo hawahawa??nyie😂😂😂😂😂
Natamani kujua akirudi mjeda huwa analala kabisaa usingizi unampitia mimi siwezi unashangaa unapigwa kisu cha moyo huku anakuchekea😬Weee Wacha wee🤗
Tuhadithie kidogo
Umebahatika mpendwa huyo bro hana mdogo wake niombe huku talaka nije huko kwenye neema hata ukisaliti 😬😬Hapigi mwanamke kabisa mana akimshika tu ni kesi ya mauaji!!
Kuna watu hawana roho ya visasi na anajua miaka 3 yeye angeweza 😂😂😂Bado Mimi siamini aisee..
Yaani wabongo hawahawa??nyie😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!!Natamani kujua akirudi mjeda huwa analala kabisaa usingizi unampitia mimi siwezi unashangaa unapigwa kisu cha moyo huku anakuchekea😬
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!!
Kwa kweli tupambane na mahusiano yetuInatosha sasa pambaneni na hali zenu sasa!! ya bosi ledi tumuachie mwenyewe!!😂😂🤗
Ngoja tumuulizeNatamani kujua akirudi mjeda huwa analala kabisaa usingizi unampitia mimi siwezi unashangaa unapigwa kisu cha moyo huku anakuchekea![]()