Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi natamani kumuuliza tu bro japo sina mazoea nae why anapenda kuchukua wa Jf
bandika bandua.
Ngoja mahondaw atusaidie kumwita aisee

Hata Mimi natamani kuuliza.

Na wanaochukuliwa hivi wanajisikiaje?
Au ndo mtu anaona ameokota dodo kwenye mnazi??
Maana unaona kabisa mwenzio alichukuliwa akapigwa chini,mwingine alichukuliwa akapigwa chini,zoezi likaendelea hadi likamfikia.

Au ndo wanaamini kwenye Imani upendo na muujiza kwamba hali itaenda kubadilikia Kwake hatapigwa chini
 
Sio mtu wa mitandao kabisa... Yeah we have unfinished Business kwakweli sijui nielezeje ili unielewe!
Binafsi im not into him (mchepuko) anymore hata yeye anajua hilo Ningekua na njia ya kuhibitishiesha ningethibitisha hilo ila no way!
Nimesema we have unfinished business kwa sababu ambazo I need details enough details kwakweli Saivi nikama kakangu au Ndugu yangu na majuzi after a Long silence nikashangaaa trobaaaahhh umekuaje tena weye .. Haya nini kimekupata huko ulikokuwa hatoi majibu yaliyonyooka anapinda pinda tu tukachambana hapooo badae tunapatana he gives me ABC about snichtes na kuniadvice kitu fulani kuhusu jf..hii ni Juzi kama juzi...
(Najua kuna wataopeleka hizi info )
He's my best friend ever!
 
Tena Mwanamke aliomchukua safari hii 😬😬kuna ile kukomoana ngoja nijionee
 
Pesaaaaaa!

Tena anahakikisha wanajuana kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…