cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Usimalize utamuNikuelezee alivyo?
Huyu ntamvizia akiweka tenaIla Coca jamanibadilisha na ukuta huo, km jela bhana wee vipi lol.

HuyoNa Wige Mmemtibua mama ya mizagamuo.... !!
Ila Coca jamani![]()








huo uchebe wake sasa kidevuni utadhan, nyasi za madimba ya mpunga, kabla ya Kung'olea.yaan nmeweka simu pemben dk chache kurudi hola nimesikitika dah
Kheeeeeeh umechukua serious? Daaah.Huyo
Kijana/Binti
Hawezi kunitibua
Unajua nini
Hapa ni chitchat
Tunafurahi siku zinasonga
Humu ndani kuna vitu vizuriHandsome Mmoja mattatta sana... ile miili ya kisukuma ile
ana kifua kimoja dahh kidevu sasa!!! Afu ameenda hewani!!
✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️Najua msukuma...hayaHuyo
Kijana/Binti
Hawezi kunitibua
Unajua nini
Hapa ni chitchat
Tunafurahi siku zinasonga
Yani vizuri sana!!!Humu ndani kuna vitu vizuri
Geto ya mselandyooooooh
huo uchebe wake sasa kidevuni utadhan, nyasi za madimba ya mpunga, kabla ya Kung'olea.


acha ukorofi basiGeto ya msela
Paka mbu mende
Hawawezi kuishi
Hapa ni kulala mara mbili
Kwa mwezi







ndo kuwe km bwaro la chakula pale Tosamaganga sec?