Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20211006_181730.jpg


and 100 others salam nimeshindwa kufikisha 🙄
 
View attachment 1965860

and 100 others salam nimeshindwa kufikisha 🙄
Mie nakulaumu wewe... we mwambie uncle anamsalimia 😀😀,
Halafu hilo swali alilopata mwambie xmas zawadi inamuhusu

Mention five sensory organs
1.Skin ✔️
2.eyes ✔️
3.tongue ✔️
4.ears ✔️
5.nose ✔️
💯

👏👏👏👏
 
Mie nakulaumu wewe... we mwambie uncle anamsalimia 😀😀,
Halafu hilo swali alilopata mwambie xmas zawadi inamuhusu

Mention five sensory organs
1.Skin ✔️
2.eyes ✔️
3.tongue ✔️
4.ears ✔️
5.nose ✔️
💯

👏👏👏👏
Unanilaumu bure kabisa dear uncle 😔😔 maana the ball is on your court ila tu unajisikia kunichosha 😐

😁😁😁😁 Zawadi gani tuanze kufurahia kabisa in advance 🙂 Hopefully mwalimu nae anapata zawadi sio dada H tu😉
 
Unanilaumu bure kabisa dear uncle 😔😔 maana the ball is on your court ila tu unajisikia kunichosha 😐

😁😁😁😁 Zawadi gani tuanze kufurahia kabisa in advance 🙂 Hopefully mwalimu nae anapata zawadi sio dada H tu😉
Hio lazima, yaani teacher lazima apate precious gift... 🙂
and the gift iiiiiiissss...
watch_ladies.jpg


Halafu dada H sasa ......
the gift iiiissssss

backpack-1525408053.jpeg

Yaani usiponikaribisha xmas, basi umepishana na hizo gift 🙂
 
Eti eeh?
Ni bora nidondoshe simu kuliko kudondosha notee1 tu ya dala 100

Woga wako ndio unakuharibia, kijana unatakiwa kufanya mambo ambayo siku ukiwa zako mzee ukikumbuka usipate jibu kwa nini ulifanya hivyo. Chances never come twice, we poteza note hata tano, vumilia msala utakaoupata siku mbili tatu ukidaiwa , huku ukisisitiza hujui zilipo na hauna kitu, then akichoka kudai unaanza kuzila .

Usiseme sijakupa ushauri
 
Back
Top Bottom