Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Kijana wa hovyo 👊🏾👊🏾👊🏾tbt wiki moja iliyopita kabla sijaacha pombeView attachment 1965669
Kijana wa hovyo 👊🏾👊🏾👊🏾tbt wiki moja iliyopita kabla sijaacha pombeView attachment 1965669
Kama kawaida yako....Live Location mpaka ime-expire 😬😬😬Mbona sioni?
Hahahaha hivi hutumiii eeeKijana wa hovyo![]()
🤔🤔🤔 nataka unikaribishe vizuri... 🙂Usinifanyie hivyo bana. 🤣🤣🤣🤣🤣
Au unataka ukija Christmas nisikukaribishe vizuri 🤔😏
Mie nakulaumu wewe... we mwambie uncle anamsalimia 😀😀,
Naangaliaga tu huku nafukuza nyuki 😁😁🙈Hahahaha hivi hutumiii eee
Unanilaumu bure kabisa dear uncle 😔😔 maana the ball is on your court ila tu unajisikia kunichosha 😐Mie nakulaumu wewe... we mwambie uncle anamsalimia 😀😀,
Halafu hilo swali alilopata mwambie xmas zawadi inamuhusu
Mention five sensory organs
1.Skin ✔️
2.eyes ✔️
3.tongue ✔️
4.ears ✔️
5.nose ✔️
💯
👏👏👏👏
Tena nakunywesha za bei ndogo ndogo,za elfu 3,3 ili ziwe nyingi

Hio lazima, yaani teacher lazima apate precious gift... 🙂Unanilaumu bure kabisa dear uncle 😔😔 maana the ball is on your court ila tu unajisikia kunichosha 😐
😁😁😁😁 Zawadi gani tuanze kufurahia kabisa in advance 🙂 Hopefully mwalimu nae anapata zawadi sio dada H tu😉
Hamna kitu kigumu kama kumshikia mtu helaDuh, noma sana

Nilivyo kiwavi mie huo msosi hadi saa 4,tumbo linakwangua balaa

Hamna kitu kigumu kama kumshikia mtu hela![]()

Eti eeh?Hahahah, Ni swala la kusema kuna hela zimedondoka na sijui zimedondoka wapi, tuone atakufanyaje.![]()







Eti eeh?
Ni bora nidondoshe simu kuliko kudondosha notee1 tu ya dala 100
, huku ukisisitiza hujui zilipo na hauna kitu, then akichoka kudai unaanza kuzila 

.