ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,441
- 119,016
Amen rafiki.haha eti mkaldayo
Sema Amen tu rafiki

Amen rafiki.haha eti mkaldayo
Sema Amen tu rafiki

Vipi habari ya leoAmen rafiki.![]()
Usiende kule kama una roho nyepesi![]()





wanatibua mioyo ya watu kule wee acha tyuuu.Wamiliki wa fastjet hawa wanatutesa
Au ametamani satini yangu na hasemi![]()







akili zako unazijua mwenyewe khaaaahItabidi niende nikaone haya maeneo kabla sijacomment![]()






kwa maelezo ya jana, sitaki hata kupajua huko,Si ulisema hutaki skuna?
Coca mwenyewe sijui kaenda wapi






nikuambie nilikoenda? Au bas tyuuhYaan wee daaah.Nilitoka online Shos ntaweka badae nikimaliza Kazi





Ndyo kisa vocha,






Salama tu rafiki, nasisitiza picha. Japo ndio hivyo mshasema hampigi picha siku hizi.Vipi habari ya leo
Hahha yaaniSalama tu rafiki, nasisitiza picha. Japo ndio hivyo mshasema hampigi picha siku hizi.
Chicken wings are overrated imo+ Broiled vipapatio...
View attachment 2184174
Morning mkuu!

Zaburi 121:8
BWANA atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele.
Usijali, nitakupitia hapo Mjini Mwezi Ujao 🙊Msimu wa mavuno unistue nikusaidie
Shida yako hapo Ulipo JF-Pesa haipo, ningekutumia Chap🤪🤪Nimekuja kureply 🤣🤣🤣🤸🏻♀️🤸🏻♀️
Nibebee Tv nch 60 na home architecture.View attachment 2184857
Palipo na Wazee hakuharibiki Jambo, Nimejitolea kwenda Kiev kuwa mpatanishi wa hawa Wababe wa Vita, haiwezekani kwa Vita yao Sisi Bei ya Petrol/Dieselzipande hadi kufikia 3,005/Lita huku Kijijini kwetu Namanyele.
Na Kwa taarifa za Chinichini hata Wajukuu zetu hiyo Mei Mosi hawatapata ongezeko Kwasababu ya Vita hii![]()





