spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,527
That’s we call nine seedsHaya mahindi yamebanana sana. We na babu yako hamvuni kitu hapo![]()
Nimekuja kureply 🤣🤣🤣🤸🏻♀️🤸🏻♀️Tukifungwa hii mechi nakutumia hela ya Hennessy Mjukuu, Ila tukishinda utachagua zawadi ya kunipa 🤪🤪🤪
Ulivyokunja nne sasa, kama vile hamjafungwa 🤣
Woyoooo 🤸🏻♀️🤸🏻♀️ 🔥 🔥
Niko poa Boss Lady. Tangu juzi umegoma kuweka mtandio nikasusa mazima yaani. I hope your weekend is going wellHow's you msukuma??

Hakuna cha nine seeds wala wani siidi hapo hamvuni kitu hapoThat’s we call nine seeds
Uliza kwa watoto wa SUA wakupe shule ya kilimo cha usasani![]()



Kilaini kabisa maana hawa Arsenal wanapigaka tu hukoWoyoooo 🤸🏻♀️🤸🏻♀️ 🔥 🔥
👏 kwa Top 4
Daaah manutd itaniua kwa preshaUlivyokunja nne sasa, kama vile hamjafungwa![]()

Mkuu leo naona kimyaaa 🙂How's you msukuma??
Wee mbona niliweka msukuma niliweka!!Niko poa Boss Lady. Tangu juzi umegoma kuweka mtandio nikasusa mazima yaani. I hope your weekend is going well![]()
Nishatupia zakutosha mkuu 😜😜🤩Mkuu leo naona kimyaaa 🙂
Comment savedHakuna cha nine seeds wala wani siidi hapo hamvuni kitu hapo![]()