CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Back on my days


Mi mwenyewe nimekosa boss ladyNishatupia zakutosha mkuu 😜😜🤩
Boss ledi jamani nimepitwa na picha Zako



Aarh wee sikuhizi sijui unajificha Wapi!!Mi mwenyewe nimekosa boss lady
Irudiweeeeeeee
🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗Boss ledi jamani nimepitwa na picha Zako
Zirudiwe
Shimba Ya Buyenze yuko wapi?
Zirudiwe aiseee...ni ubatili kupitwa na picha za boss wetu.
Zirudiwe Kwanza boss wetu mkubwaAbout to![]()
![]()

Awapi!! 😎😎😎Zirudiwe Kwanza boss wetu mkubwa![]()
Kuna ndugu yangu,alitoboa..akavimba
Kule nyuma ya sikio kunatengeneza dunguli kubwa linakua kadiri muda unavyoenda.
Baada ya muda anafanya oparesheni hayo madude yanakatwa...akikaa Kaa yanaota tena.
Hadi masikio yake yamechakaa maana zaidi ya miaka 15 sasa ni operation yanarudi Tena.




Ilikuwa si mchezo. Sema siku hizi boss lady ni bingwa wa kufuta hatariBoss ledi jamani nimepitwa na picha Zako
Zirudiwe
Shimba Ya Buyenze yuko wapi?
Zirudiwe aiseee...ni ubatili kupitwa na picha za boss wetu.
YanachakaaMasikio yanachakaa vipi![]()
🤗🤗🤗🤣🤣🤣🤣🤣!!Ilikuwa si mchezo. Sema siku hizi boss lady ni bingwa wa kufuta hatari
Yani ile kugeuza shingo tu tayari imeshafutwa wakati bado nilikuwa sijamaliza kuitazama 😀😀🤗🤗🤗🤣🤣🤣🤣🤣!!
ulikua unaikalili!😁😜Yani ile kugeuza shingo tu tayari imeshafutwa wakati bado nilikuwa sijamaliza kuitazama 😀😀
ipi???Rushia ile ni reply 😀
Nilikuwa naikagua badoulikua unaikalili!😁😜
Ile ya mwishoni kabisaipi???
Siikumbuki sasa nikumbusheIle ya mwishoni kabisa