Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,224
Kweli kabisa babu, me niko nalima huku
Tafadhali heshimu Wazee 🤪💪Li babu la mchongo![]()
Babu raba yako qali
Usimwambie hivyo babu yangu… nitakukata mbata 1Li babu la mchongo![]()
Neng'eneka tuTafadhali heshimu Wazee![]()
HushindwiUsimwambie hivyo babu yangu… nitakukata mbata 1

Nilidhani baada ya kuhamia Mjini ungesahau Jembe, kweli mafunzo ya Bibi yako uliyazingatia 🤪Kweli kabisa babu, me niko nalima hukuView attachment 2181759
Hataki mchezo na wajukuu zakeNamuona
Alivyochuna
Analinda wajukuu
Nadhani unataka nikutumie Mamba kutoka huku Nansio ndiyo utaelewa maana ya Babu🤪Neng'eneka tu
Siwezi sahau jembe babu, ndio limenikuza hilo.Nilidhani baada ya kuhamia Mjini ungesahau Jembe, kweli mafunzo ya Bibi yako uliyazingatia 🤪
Sitaki utani na wajukuu zangu wapendwa, lazima niwalinde 😂Namuona
Alivyochuna
Analinda wajukuu
Yupps 🙂Zenji moja iyo
Na picha babu tuwape 🤣Sijambo Mjukuu, nipo shambani saivi tunapalilia mahindi 🤪🤪🏃
Mmoja wa wazazi wanguNadhani unataka nikutumie Mamba kutoka huku Nansio ndiyo utaelewa maana ya Babu![]()
Unajua kunipatia wewe, yaani Bibi yako atachinja yule jogoo mkubwa na kunipikia ugari wa mhogo utakaoniletea😋😋Siwezi sahau jembe babu, ndio limenikuza hilo.
Nikivuna mihogo takutumiako unga wake ule na bibi yetu.
Mahindi yetu mwezi wa Sita tunavuna🙌Na picha babu tuwape 🤣View attachment 2181771
Ndio babu 🤸🏻♀️Mahindi yetu mwezi wa Sita tunavuna🙌