Kuna mwingine mtoto ana mwezi tu anampeleka, mi wangu nilimpeleka akiwa ana miezi mitatu na yupo vizuri kabisa hata hakulia, tho kwa watoto wadogo healing kwao ni very fast ila nikuwa makini ukitoboa unalipa uwangalizi ndani ya siku tano na kuweka spiriti kuua bacteria wanaoweza kukuletea infection
Zilikuwa nzuri na ndefuSs hii ni 2014,15-17... Can u imagineView attachment 2180682
Picha nyingi ila zinatosha kwaleoView attachment 2180685View attachment 2180686View attachment 2180691
Ss hii ni 2014,15-17... Can u imagineView attachment 2180682
Picha nyingi ila zinatosha kwaleoView attachment 2180685View attachment 2180686View attachment 2180691
Fumua dear osha weka steaming mwambie anaekuwaka akufanyie massage kichwan hta dakika 3 ukiwa na steaming osha blow-dry then utafanya unachopenda Ila kuretouch Mara kwa Mara sio nzuri kwa nyweleOoh Asante
Sema hivi vinywele vyangu sijui kama vitaweza kukaa miezi yote hiyo . Na kusuka nywele nikae nazo muda mrefu siwezi .
Hapa nimesuka Yebo yebo nipo week ya tatu ,nimezichoka hatari .. natamani kuzifumua tu
Mimi mda wangu kupumzika home ni Jumapili tu so nafumua sikuhiyo na kusuka ila kupitia comment yako nimejifunzaππ½Sawa dear Ila kwenye kusuka wengi ni kipengele nywelee hazipumziki ukitoa yebo vitunguu ukitoa mda huo huo Facebookndo tunakosea sana
Nywele nzuri hivyo jamaniMm huwa dawa hazinikubali naungua Sana nikajaribu olive oil ikakubali lkn kila mwez nywele imeota nikazikata now ni hizo natural hair japo soon nitaziweka dawa View attachment 2180692
Nywele nzuri zinavutia
Mwanamke ni nywele tu
Mweh hiyo dawa .. ni dawa nzuri mno nakumbuka tulikuwa tunaipaka ya zamani ile.
Nywele zangu nikisuka tu zishaoteana na kushikana huko ..
Huwa nikipaka dawa after week kama sijapaka vile
Mtu anaanza kunishangaa wewe uliweka dawa kweli
kuumbwa mwanaume raha sana.. tunafaidi samaa πππhahahaha
Wewe ni hair stylist eeh maana unajuaFumua dear osha weka steaming mwambie anaekuwaka akufanyie massage kichwan hta dakika 3 ukiwa na steaming osha blow-dry then utafanya unachopenda Ila kuretouch Mara kwa Mara sio nzuri kwa nywele
Umeonaa hiii.. siku ya kwanza nimekutana nayoo kidogo nife kwa shock moyonii.. pisi imejitolesheza kupita kiasi.. hii ipo mahalaAwe na tatoo shingoni sikioni atoboe matundu mengi halafu awe na bleach kichwani
Apendelee kuvaa kitop kifupi nione alivyotoboa kitomvu napenda sana
Akitoboa pussy inakuwa added advantage
Kweli , Ilibidi ziwe ndefu zaidiss ni miaka hiyoo ,sahivi ndo zinazingua ilitakiwa ziwe kiunoni
Mm huwa dawa hazinikubali naungua Sana nikajaribu olive oil ikakubali lkn kila mwez nywele imeota nikazikata now ni hizo natural hair japo soon nitaziweka dawa View attachment 2180692
Umeonaa hiii.. siku ya kwanza nimekutana nayoo kidogo nife kwa shock moyonii.. pisi imejitolesheza kupita kiasi.. hii ipo mahala View attachment 2180699
πππ Shangaziiiiii au basi tuIla mjombaau basi...
Aiseemimi huku naona afadhali
ππMm huwa dawa hazinikubali naungua Sana nikajaribu olive oil ikakubali lkn kila mwez nywele imeota nikazikata now ni hizo natural hair japo soon nitaziweka dawa View attachment 2180692
Nyingi mno yaani zinawakera wasusi ndo maana nawekaga dawaNywele nzuri hivyo jamani
I wish usiweke dawa
Aisee watu mno siriazi jamani hadi rahaView attachment 2180637
[mention]Christine1 [/mention] [mention]Tinsley [/mention] hair products nazotumia..
Khaa wasusi hawa , sijui wanakuwaga na wivu .Nyingi mno yaani zinawakera wasusi ndo maana nawekaga dawa