Kuna mmoja yupo MAC aiseee siku ya kwanza nimemuona nikasema hata 2million nampa for one night.. hizo vitu zote anazo na ana ngozi kama mtoto πππ wanaume Mungu alitupendelea sana
, mi wangu nilimpeleka akiwa ana miezi mitatu na yupo vizuri kabisa hata hakulia, tho kwa watoto wadogo healing kwao ni very fast ila nikuwa makini ukitoboa unalipa uwangalizi ndani ya siku tano na kuweka spiriti kuua bacteria wanaoweza kukuletea infection
Mm huwa dawa hazinikubali naungua Sana nikajaribu olive oil ikakubali lkn kila mwez nywele imeota nikazikata now ni hizo natural hair japo soon nitaziweka dawa
Unaosha dear una blow-dry unasuka pia jitahid kusuka nywele ambazo haziathiri ukuaji wa nywele
Epuka pia kusuka nywele zinazovutwa Sana zinasababisha nywele kukosa nafasi ya kukua vzuri na kukatika
Ukiona unakaribia kuretouch usiretouch siku unayofumua kma umesuka fumua ziache hata sikumoja zitulie then retouch