Selfika na JF: Snap it. Show it

Umenena rafiki ...cheap is always expensive
Asante kwa ushauri mzuri huu kabisa .
Huwa mnawatoboa hao vichanga wakiwa na miezi mingapi ?
Kuna mwingine mtoto ana mwezi tu anampeleka
, mi wangu nilimpeleka akiwa ana miezi mitatu na yupo vizuri kabisa hata hakulia, tho kwa watoto wadogo healing kwao ni very fast ila nikuwa makini ukitoboa unalipa uwangalizi ndani ya siku tano na kuweka spiriti kuua bacteria wanaoweza kukuletea infection
 
Mimi baada ya miezi 3,hata ikiota mapema inabidi usubiri baada ya miezi hiyo..
Mweh hiyo dawa .. ni dawa nzuri mno nakumbuka tulikuwa tunaipaka ya zamani ile.
Nywele zangu nikisuka tu zishaoteana na kushikana huko ..

Huwa nikipaka dawa after week kama sijapaka vile
Mtu anaanza kunishangaa wewe uliweka dawa kweli
 

Ooh Asante
Sema hivi vinywele vyangu sijui kama vitaweza kukaa miezi yote hiyo . Na kusuka nywele nikae nazo muda mrefu siwezi .

Hapa nimesuka Yebo yebo nipo week ya tatu ,nimezichoka hatari .. natamani kuzifumua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…