Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio nimepewa Authority n power,lkn si lzm niombe ?
Ile mamlaka niliyopewa ili ifanye kazi lzm niombe mkuu ile itumike kuondoa hizi mambo!
Ni aina gani ya maombi? Hayo maombi una ya direct wapi.. na for case kama hiyo sio issue ya maombi.. ni command.. ukishasema unaomba tayari mnaweza kuwa na mlolongo mrefu πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„.. maana harisi ya maombi au genesis ya maombi ( ni communion kati ya watu wawili ).. mnaaka mnaanza chapa story..
 
Anyway I think tunatofautiana kwenye 'understanding' ya neno maombi.
Yamkini tunamaaisha kitu kimoja!
Maombi yanatofautiana, kuna ya vita,kuna ya shukrani, toba, nk(yote tunaita maombi) !

Hakuna mlolongo, mfano napokua kwenye maombi ya vita hapo hakuna mlolongo mbona!ndo unatumia hiyo nguvu na mamlaka vzr
(Mambo ya imani haya ni mapana)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…