Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Yupo vizuriMtoto wa kishua yule,....
Yupo vizuriMtoto wa kishua yule,....
watoto wa kishua walio amua kupindaa.. huwa wanapinda kweli.. maana wanafanya hivyo wakijua wana backup.. pia kwenyr ku present vipindi unatamani asimalizeMtoto wa kishua yule,....
Sure kwenye 90's ilikuwa ni gangstar rap, now ni crunks..ila hawa wa sasa hivi kidogo wana balance.. zamani usela ulikuwa mwingi sanaa... walitaka copy life ya kina 2 pac vibayaaa
Ningekuwa dom.. ningejiiba kuna Dj wao anapiga hizi pin kwa mpangilio mmoja hatari...Mzuka![]()
Saigon nadhani ngada ilimharibu tu, lakini angekomaa hapa EA sijui kama wangemkamata!
😀😀 sio ndio wakaleta na mambo ya East cost team na TMKSure kwenye 90's ilikuwa ni gangstar rap, now ni crunks..
Always wasanii wetu wanaiga nje hasa hiphop, miaka ya violence kwenye hiphop nao waliiga.
We chuga moja.Ni kweli kabisa,Saigon ndio lead rapper wa diplomatz,halafu ndio anafuata balozi na stiggo...msikilize kwenye nyimbo aliyoshirikiana na Tid inaitwa viwanjani ...
Mbona jamaa now days ni Ustadh sana, nilionana one day, aliacha music sababu ya dini.
Yaani kuanzia watangazaji hadi wageni waalikwa ilikua vituko.Watu walikuwa wanajaribu kutoka kimaisha, ninyi mnawacheka! 🤣
Ugumu ulipitiliza.. wapendwa walimuwahi.. ila bila hivyo hatujui 😀😀Ila kuna kipindi kama aliwehuka hivi...
Kuna kipindi aliharibu kabisa vijana wakawa wanaiga ule msomo wake wa Kalinye Kalinyee Oii Oiiii!......
Daaah, Saigon was a piece of work.......

kalinye kalinye episode...Hiphop ilikuwa inaenda sambamba na ubabe, we si unaona kina 50, the game n.k😀😀 sio ndio wakaleta na mambo y cost team na TMK
Labda Magret Singano.. unakuta wanafanya wa injili na hip hop 🤓🤓🤓Yaani kuanzia watangazaji hadi wageni waalikwa ilikua vituko.
Nilikua nakipenda sana, maana kilikua kinanipa raha. Walikua wanaonyesha J2 kama skosei
Af wasanii wake hawajulikani, sidhan kama kishawah kutoa msanii hata mmoja😅🤣🤣
Mtoto wa kishua yule,....
Ila sasa hivi ime move sana kutoka kwenye ubabe hata wa kuhatarisha maisha hadi ujivuni wa pesaaa.. sasa hivi wamehamia huko nani ana mpunga mrefu zaidiHiphop ilikuwa inaenda sambamba na ubabe, we si unaona kina 50, the game n.k
Noma sana.
Kuna dogo tulimpoteza alikuwa ana flow kali sana.. free style ni shida ila hivyo ugumu ukamtoa out 😢.. huko hukoWale diplomatz wote wakishua usela wameupatia Tambaza...
Nimekumbuka mbali sasa! Sema ngoja mengine niyaache tu.....watoto wa kishua walio amua kupindaa.. huwa wanapinda kweli.. maana wanafanya hivyo wakijua wana backup.. pia kwenyr ku present vipindi unatamani asimalize
Mie leo kwangu imekuwa siku nzuri sana na yenye kumbu kumbu nimekumbuka moment nyingi sanaa.. nimechapa old old pita hadi kwa kina Chindo man 😀😀Nimekumbuka mbali sasa! Sema ngoja mengine niyaache tu.....
Kuna dogo tulimpoteza alikuwa ana flow kali sana.. free style ni shida ila hivyo ugumu ukamtoa out.. huko huko