Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Potelea pote tuongezee ingine
Tukionana utanikimbia..hutaaminj
Potelea pote tuongezee ingine
Tukionana utanikimbia..hutaaminj
Ngoja Junia akukumbushe kwa kukubatua na begi la uso


huyu Junia ni wa kumfundisha nafasi ikipatika, napo Mama yake asiwepoMipira mwisho uwanjani😂😂😂Na kweli.. mipira ishapitwa na wakati.. tupa kulee.. ni mwendo dry kama tulivyo umbwaa 😀😀😀
Ohooo kweli Madam?Hizi ndevu ka nazijua![]()

Aaah weeee😄😄😄😄 wenye mji wenu sie wa mikoani tunakujaga kushangaa tu mataa na kurudi makwetu...
Hebu kenua sasa tuone unavyonoga zaidi😜!Hii niliona shida kukenua
View attachment 2179383
😄😄😄😄 ewaaaaa... na wanao tumia wauwaweee tu.. hawana tija..Mipira mwisho uwanjani😂😂😂
mnakula sana maisha.. tuna wasubiri mikoani 😊😊 mje kula vitu vya kimkoa mkoaAaah weeee
Wachaaaaaaa
🤣🤣🤣Umeanza mambo za Anne eehHebu kenua sasa tuone unavyonoga zaidi😜!
Ndio najaribu kuvuta memory hapa niliziona wapiOhooo kweli Madam?![]()
Mimi sijawahi hata hapo nina account kwakeKitambo sana nilimtumia huyo broker..

hapana Anne simfikii hata robo 🤣🤣!!🤣🤣🤣Umeanza mambo za Anne eeh
Nimeshangaa eti anasema ukimwi unaua.. kwa malaria ina ponyaaa.. 😀😀😀😀 alafu naona ukimwi ni mchongo flani hivi wazungu wawapige pesaMipira mwisho uwanjani😂😂😂
Huwa haziboi kama za sasa hiviLeo zimefanya siku yangu kuwa zuri.. nimekuwa na memory nzuri ya yaliyopita
😂😂😂😂😂😄😄😄😄 ewaaaaa... na wanao tumia wauwaweee tu.. hawana tija..
Za saiv ukiskiliza mara 2 zishaboaHuwa haziboi kama za sasa hivi
Sawa ukikumbuka nijulisheNdio najaribu kuvuta memory hapa niliziona wapi
