Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Dom ni masaa 7 hadi 8Lipo slow sana Nkamu tumeondoka Dar saa nne ila mpaka sa hivi hata Gairo hatujafika
Kawaida š„°
Dom ni masaa 7 hadi 8Lipo slow sana Nkamu tumeondoka Dar saa nne ila mpaka sa hivi hata Gairo hatujafika
Mnaumia au mnafurahi?Tunaoumia ni sisi
InategemeaMnaumia au mnafurahi?
Inategemea nini mkuu?Inategemea
Shangazi asante asante shangazi nimeona nimeona ššMjomba na wewe kumbe unasikiliza hip hop
Wenzetu wanavyofaidi vitu vizuri, tunaishia kuona tu šššInategemea nini mkuu?
Upo safarini kumbe, mfike salama aiseeLipo slow sana Nkamu tumeondoka Dar saa nne ila mpaka sa hivi hata Gairo hatujafika




Ndio ule mtetemeko eeh.. fala sana weweee šššššš¤£ hadi simu imenidondoka
Shepu letu matataš„°š„°š„°š„°š„°š„°š„°
Lakini yapo!Jina gumu nikadhani nitakuta kitu cha scania![]()
Na wewe unatafuta tu mkuu..Wenzetu wanavyofaidi vitu vizuri, tunaishia kuona tu ššš
kwanini wamecheka.. umesiki mkono wa producer ššNimeplay ya pili kuna watu wamecheka hapa š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£
šššššNa wewe unatafuta tu mkuu..
Pole, hilo ni kwa watu wanaopenda Luxury na hawana harakaLipo slow sana Nkamu tumeondoka Dar saa nne ila mpaka sa hivi hata Gairo hatujafika
...Dom ni masaa 7 hadi 8
Kawaida![]()