Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nipo jobu tumeanza pepa za midterm!
Hapa Nawapiga biti tu madogo "ukigeuza shingo nakuvunja miguu Nikuone unageuka sasa !!!!
Kuna mwalimu msimamizi alitusimamia kwenye mtihani wa taifa, yule mama popote alipo mungu amlinde, yaani alikuwa anatupa majibu kwenye maswali magumu, nilimuelewa kwa sababu alijua yale ni maisha.

Japo ali cheat lakini sitomsahau.
 
Kuna mwalimu msimamizi alitusimamia kwenye mtihani wa taifa, yule mama popote alipo mungu amlinde, yaani alikuwa anatupa majibu kwenye maswali magumu, nilimuelewa kwa sababu alijua yale ni maisha.

Japo ali cheat lakini sitomsahau.
Sanasana primary huko wanatoa sana majibu!! Ila yale ni maisha so kumkazia sana mtoto nuksi lakini pia usiwaachie sana!
 
Dah! Ukiwa na mke mzuri halafu mpambanaji, humo kwenye upambanaji sio poa.

Lazima utom*ewe tu, hilo halina ubishi, hata uwe na pesa, uwe na gari 20.

Nina mpango nioe mwanamke ana sura ya mdingi wake..
🤣🤣🤣🤣🤣! Hapana mkuu usogope oa pisi tu inategemea na tabia na hulka ya mtu!! Na unavyomuhendo!
 
Hapana wee mkojoze vizuri plus pesa mfungulie biashara miradi umemamiliza!! Labda kama ana matatizo ndio atahangaika huko nje!
Halafu pesa itamlemaza tu wee mfungulie biashara !
Wanawake ninyi, hata umkojoze mpaka kesho asubuhi asiamke kwenda kazini lakini kuna sehemu tu ukizubaa, utashangaa mwenyewe😕
 
The Greek word translated as ‘children’ is teknon, and it means offspring. Since we are God’s offspring created in His image and likeness, His ability becomes our ability. He passed it on to us. It’s in our spiritual DNA, and that spiritual DNA can affect our physical DNA and everything around us.

Heaven Sent
 
Back
Top Bottom