Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,575
- 235,413
Gallius ananifundisha biology,hahaa... utajigawa mara ngapi sasa si unaenda shuleni kwa Gallius wewe! !!
[emoji23][emoji23][emoji23]akitaja ni tag .nipeleke mtoto amfundishe
Hao Bana Wana BBQ pit ya tumboni mwao wanaona Fresh Tu.....wanakauka hawajaliπππ jua kali mwamba anatupia tu..
Yes ma'amBirthday yako leo ?
km we kiongozi uko likizo.hao wengine itakuaje?Nimejipa likizo mpaka Ramadan iishe!
.....
Ewaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]umenikumbusha kunarafikiyangu yeye akimuita tu mwanafunzi huku kamkazia jicho Yan mtoto analia tu huko huko aliko hata kabla hajamchapa Wala hajamwambia chochote
Yan had mwanae nyumbani akiita maramoja tu mtoto huyu hapa[emoji16]
πππ sure maana kwanza pale alivuta ugari dagaa na mlenda akatupia.. akapiga maji akapandishia double Kick tukaanza story.. life la bongo burdan sanaHao Bana Wana BBQ pit ya tumboni mwao wanaona Fresh Tu.....wanakauka hawajali
ππππππ! wewe Akili zako hizo utaniletea kesi wewe!!Gallius ananifundisha biology,
Kemia ni yako madam mkemia mkuu.
Aisee mm nilikuwa na bahat na kipigo [emoji16]alafu baba alikuwa mwanajeshi,mama nae alikuwa hapendi ujinga nikiharibuSasa unakuta mzazi mshenzi mshenzi.. toka mtoto anakua anaona ushenzi na upumbavvu wa wazazi.. unategemea mtoto awaje.. haya mzazi anamjenge mtoto mazingira hatarishi unategemea inakuwaje.. tunashukuru wazazi walikuwa kama makatili ili tulinyooka.. nakumbuka nilikuwa nikizungua.. nafungwa kamba miguuni na mikononi hakuna kula.. [emoji3][emoji3][emoji3] unakula stick hadi unakomaaa na hupewi chakula. na hapo yoyote alie kuzidi umri akiona unapuyanga anakuunyoosha hatari.. unafikiri kwa hiyo dozi unarudi tena kosa
ππππππ! wewe Akili zako hizo utaniletea kesi wewe!Gallius ananifundisha biology,
Kemia ni yako madam mkemia mkuu.
ππππ safi sanaaa... ndio dozi hizo.. mie nilikuwa nafungwa kamba kwanza.. miguuni na mikononi.. vitu vinapenya hujishiki hata.. alafu hapo hakuna kupewa chakula duh! unakuwa ukiwaza kichapo.. una sita unarudi nyuma..Aisee mm nilikuwa na bahat na kipigo [emoji16]alafu baba alikuwa mwanajeshi,mama nae alikuwa hapendi ujinga nikiharibu
nawekwa kwenye korido mama anakaa upende wake na baba upande mwingine Yan hakuna pakutokea unachezea kipigo Hadi unaomba Foo[emoji16]
Yan usalama wako fimbo ziishe na zikiisha lazima ule mitama hata mitatu ndo ukalale [emoji23][emoji23][emoji23]
βSending you smiles for every moment of your special dayβ¦Have a wonderful time and a very happy birthday!βYes ma'am
Katandaza zege mapema kabisaa....mpka lileyuke aaah kumekuchaa ana 'swing low' ππππππ sure maana kwanza pale alivuta ugari dagaa na mlenda akatupia.. akapiga maji akapandishia double Kick tukaanza story.. life la bongo burdan sana
Ah wapi boss ledi..ππππππ! wewe Akili zako hizo utaniletea kesi wewe!!
Duh mlikuwa mnafanya makosa ya aina gani ukorofi umeanza mda kumbeπ¬ππππ safi sanaaa... ndio dozi hizo.. mie nilikuwa nafungwa kamba kwanza.. miguuni na mikononi.. vitu vinapenya hujishiki hata.. alafu hapo hakuna kupewa chakula duh! unakuwa ukiwaza kichapo.. una sita unarudi nyuma..
Hadi mitama babeqπ€£π€£π€£π₯π₯π₯Aisee mm nilikuwa na bahat na kipigo [emoji16]alafu baba alikuwa mwanajeshi,mama nae alikuwa hapendi ujinga nikiharibu
nawekwa kwenye korido mama anakaa upende wake na baba upande mwingine Yan hakuna pakutokea unachezea kipigo Hadi unaomba Foo[emoji16]
Yan usalama wako fimbo ziishe na zikiisha lazima ule mitama hata mitatu ndo ukalale [emoji23][emoji23][emoji23]
ukivunja kifaa chochote maabara unalipa!!!Ah wapi boss ledi..
Cha muhimu nisikulipulie tu zile test tubes zako
Sina hela ya kulipa..ukivunja unalipa ohoooooo!!
Mzee wangu alikuwa anakwambia ingia uvungu wa kitanda nusu mpka kiunoni ππππ ukicheza cheza wakati unachapwa wewe unagonga chaga Tu πππππππ safi sanaaa... ndio dozi hizo.. mie nilikuwa nafungwa kamba kwanza.. miguuni na mikononi.. vitu vinapenya hujishiki hata.. alafu hapo hakuna kupewa chakula duh! unakuwa ukiwaza kichapo.. una sita unarudi nyuma..