Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,761
πππ vijanja mtoto wa form wa pale jangwani wa kike usipokuwa makini anakutoa nishai.. kuna kimoja kilikuwa zanaki.. πππ kitoto kijanja kuliko mie nili nyoosha mikono.. nikasema hapa ni moto sanajela hy.drc kule tunaita mkashoo .kasapa
Wazazi wa zaman wametusaidia sana watoto wengi kuwa hivi tulivyo leo, kipindi hiki hata malezi ni mabovu na watoto wanakua hivyo hivyo na tabia mbovu. Mimi nimeish na baba na mama hawa wazee walikua wakali hawana muda wa kubembeleza ukizingua ni stiki kwa kwenda mbele. Watoto wa siku hizi wakizingua wanabembelezwa badala ya kukemewa ndio mana hiki kizazi kina watoto wengi wa hovyo.Sasa unakuta mzazi mshenzi mshenzi.. toka mtoto anakua anaona ushenzi na upumbavvu wa wazazi.. unategemea mtoto awaje.. haya mzazi anamjenge mtoto mazingira hatarishi unategemea inakuwaje.. tunashukuru wazazi walikuwa kama makatili ili tulinyooka.. nakumbuka nilikuwa nikizungua.. nafungwa kamba miguuni na mikononi hakuna kula..unakula stick hadi unakomaaa na hupewi chakula. na hapo yoyote alie kuzidi umri akiona unapuyanga anakuunyoosha hatari.. unafikiri kwa hiyo dozi unarudi tena kosa
Kama sjui nini yaaniπmrefu kama nini βΊοΈβΊοΈ
dah.mie niliacha hy kesi inaendelea,mm nadhani wangenikuta polisi,mtoto wangemkuta muhimbili au mochwariikawaje??
watoto hawajai hata kukaa njaa 24 na kipigo pamona na kamba unafikiti wanatoa wapi uoga.. ukikumbuka kisago unarudi kwenye mstari mwenyewe ππππ.. nimekuja kutoka kwenye utata wa wazazi nilipo maliza chuo.. ndio nikahema sasa..Wazazi wa zaman wametusaidia sana watoto wengi kuwa hivi tulivyo leo, kipindi hiki hata malezi ni mabovu na watoto wanakua hivyo hivyo na tabia mbovu. Mimi nimeish na baba na mama hawa wazee walikua wakali hawana muda wa kubembeleza ukizingua ni stiki kwa kwenda mbele. Watoto wa siku hizi wakizingua wanabembelezwa badala ya kukemewa ndio mana hiki kizazi kina watoto wengi wa hovyo.
ππ aaah.. eti anaogopesha wakati... π€π€π₯π₯π₯π₯Kama sjui nini yaaniπ
Ila anaogopesha sana
Aliwanyooshawatoto hawajai hata kukaa njaa 24 na kipigo pamona na kamba unafikiti wanatoa wapi uoga.. ukikumbuka kisago unarudi kwenye mstari mwenyewe.. nimekuja kutoka kwenye utata wa wazazi nilipo maliza chuo.. ndio nikahema sasa..
dah.mie niliacha hy kesi inaendelea,mm nadhani wangenikuta polisi,mtoto wangemkuta muhimbili au mochwari
Hatari fayaaaaaπππ₯π₯π₯π₯ππ aaah.. eti anaogopesha wakati... π€π€π₯π₯π₯π₯
Utata wao ulikuwa msaada sana πππ..Aliwanyoosha
anakuwa haogopeshi ila anasisimua eeh πππHatari fayaaaaaπππ₯π₯π₯π₯
Wazazi wetu wametusaidia sana kutuweka kwene mstari. Zaman tulikua tunaona wanatuonea kumbe walikua wanatusaidia.Utata wao ulikuwa msaada sana..
zamani ikifika saa 11 hujarudi nyumbani, unaanza kulia huko huko kabla hujapokewa na kipigo ππππ.. ila siku hizi freedom imezidi sana..Wazazi wetu wametusaidia sana kutuweka kwene mstari. Zaman tulikua tunaona wanatuonea kumbe walikua wanatusaidia.
Kama hakuna fimbo sawa
Hakuna kitu nilikuwa naogopa shule kama fimbo,,nilijitahidi sana kuzikwepa..
Nikitandikwa basi ni makosa ya jumla jumla.
Kwahiyo kila siku utanipa lift hadi mbezi??
Hadi hapa nina uhakika wa 'A'
Wewe unafundisha somo gani mkuu??
Nataka somo unalofundisha nije nilisome upya aisee.
Mimi sipigi hovyo ila tu kuna namna nakuwa na kaukaliMimi hata ndugu zangu wananijua wananiambiaga zaa na ww wa kwako ndio uwapige. Sipendi watoto wajeuri na wasiotaka kufundishika ni mwendo wa mabanzi tu.
Safi sana.Haaha! Wewe mwanafunzi weweβ¦
Masomo mepesi tu Chemistry na Biology
mtoto alieshindikana hata mzazi wake kashindikana pia.. mtoto hajajizaa, mtoto hajajilea mtoto kafundishwa mtoto kalelewa
Weee navyoogopa nyoka, ningekua nimekutana nae live nahisi ningezimiaanakuwa haogopeshi ila anasisimua eeh πππ
View attachment 2175515
Au basi ngoja ni Google