Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
Ukiangalia vizuri,hapo mpiga picha na huyo bwana mwenye ringi na saa mikononi walikua wakishindana nani mwenye simu inayeweza kuchukua selfie kali,mpiga picha akiwa na simu inaitwa asus na bwana mwingine akiwa na camon c9..
Hakika ni ngumu kumjua ambition + katika hao vijana wanne.
duuh!

natania tu.






