Selfika na JF: Snap it. Show it

kwa uzuri ule wa mtoto anastahili mwenye pingamizi akaweke tangazo kwenye gazeti la serikali
 
Hapa nilipo nina hasira hatari. Nimekwenda mahali nikapaki mkweche wangu wa Corolla. Nimemaliza mishe zangu nakuta pembeni kuna kitu hiki cheupe kipya kipya. Kuangalia ndani nikakuta pisi moja junior Yutong hivi inaongea kwenye simu. Uzalendo ukanishinda nikagonga dirisha ikalishusha. Piga piga stori pale nikiisifia hiyo ndinga mpaka nikaifikisha kwenye personal issues. Pisi ni singo maza na ilishawahi kudate Nigerian boy japo boya hakuacha resume nzuri. Tetea sana Uafrika pale...from the land of Kilimanjaro and the Serengeti na kamba za hapa na pale. Namba nikapewa na kutaniko la pili ni Jumamosi hii....kwangu! Pisi ni dentist...

Mmeniharibu mpaka nikiona huyu mnyama nawakumbuka...na makonfidensi juu. Ngoja tuone hiyo Jumamosi. Si ajabu nikapewa kuiendesha hii ndinga hata kama ni maeneo tu ya home....Maisha!

Lo lote litakalotokea hiyo Jumamosi lawama ziwaangukie wewe na Fortnox. Hamfai

 
X6 sijawahi kuzielewa body kabisa yaani. X5 M Competition ndiyo mpango mzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…