Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,304
๐๐๐๐๐๐๐๐คฃ,Kidogo nipitwe![]()
๐๐๐๐๐๐๐๐คฃ,Kidogo nipitwe![]()
Na hana tumbo kabisa yaani๐anatutoa kimaso maso wadada wa Jf
Shimba Ya Buyenze msukuma leo sijakuona kabisaaaa... Saint Anne uko wapi nasikia baridi eti nakaribia kusinzia mapema sana leo!View attachment 2168593


Bora umeongea wewe nkamu.hapana nasema ukweli
Na hana tumbo kabisa yaani![]()



Anne una nini lakini ๐, shombe wa snapchatAisee๐ฅฐ
Beautiful
Kumbe tuna mashombe wengi tu na hamsemi.
Kidogo๐Uko na upuuzi mwingi ๐
Asante mamy! Naomba tips uso wangu umekua rafu afu mgumu kweli kweli halafu Vipele vimenijaaje usoni sijui kwanini!!!Suala la figure no 8 tukuachie tu huna mpinzani![]()
Boss ledi ana flat tummy kama nyigu๐yaani atupe tu tips na sisi tupambane tushachoka kuambiwa hongera wakidhani vijacho![]()
wee Anne litumbo lote hili khah!! Tumbo limegoma kabisa kupunguaNa hana tumbo kabisa yaani![]()
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คญ๐คญ๐คญ๐คญ๐คญ๐คญNangoja tu ugeuke hapa nikalale![]()
Na kababy face hako bado unasema uso upo rafu..Asante mamy! Naomba tips uso wangu umekua rafu afu mgumu kweli kweli halafu Vipele vimenijaaje usoni sijui kwanini!!!
yaani atupe tu tips na sisi tupambane tushachoka kuambiwa hongera wakidhani vijacho![]()



yaani na ugali ndio umeZidi utamu..Hahahah jamani dear, sasa hapo kuna mawili camera imenistiri pia ujue ๐คฃ๐คฃupo softi hadi raha...unapaka nini Usoni jamani!!!
Sio mimi bwana ๐Nakujua
Zipo kibao huko juu! Ngoja nikaoge nivae za kanisani mkuu!!Hiv Eroni una picha hata moja humu kweli? Fanya mpango basi