Hakuna mwanamke mwenye uwezo wa kumfanya mwanaume kuwa mwaminifu.
Mwanaume anatakiwa kuwa na hofu ya Mungu ili kuwa mwamifu ( heshima ) kwa mke/mpenzi wake.
Hakuna mwaume ambae ni sahihi kwa mwanamke, isipokuwa kuna mwanaume sahihi kwa Mungu ( kama ni sahihi kwa Mungu, atakuwa sahihi kwako ).
Kama mwanaume hana hofu ya Mungu, sahahu kuwa na heshima kwako wewe mwanamke.. Usijdanganye kwamba utambadilisha 😎😎😎
View attachment 2168434
9.8ms squared kwa sasa sehemu flani napata gahawa na wajukuu zangu..