Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,405
Mi najua basi? Hapa tunachit chat tu bana!Afu mie mbna sie wa Namtumbo? Mie Songea 1 hiyooo.![]()
Mi najua basi? Hapa tunachit chat tu bana!Afu mie mbna sie wa Namtumbo? Mie Songea 1 hiyooo.![]()
Utaniletea chakula kitamu nipendecho.. uzuri chakula cha kwanza ni...... cha pili unachopika.. tupo na ile dhamira yetu ya kutokomeza ufukara genius wangu💪💪
Nilijaribu kuja PM kwako nikakuta kumefungwa. Sasa mi nifanyeje?Shimba Ya Buyenze wee babuu una tabia mbaya lakini.
Mbna huweki selfie yako na uliniahidi mmmh.
Wewe hauna usingizi bado ?yaan uwiiiih
Kesho inshaalah shamba lala mapema 😬Utaniletea chakula kitamu nipendecho.. uzuri chakula cha kwanza ni...... cha pili unachopika.. tupo na ile dhamira yetu ya kutokomeza ufukara genius wangu💪💪
Unikumbuke kwenye dua.. maana maisha yetu ni Dua.. Acha leo nikuote net yangu.. 🥰.. sasa nizime kiswaswadu changuKesho inshaalah shamba lala mapema 😬
Ooh okaySina kabisa yaani![]()
Utanikuta tu boss, nagonga deiwaka yanguHeaven Sent una nini lakini.. mbona wanikodolea macho tu.. na kesho naja hapo.. unitanie tena
Usijar babuuuuhMi najua basi? Hapa tunachit chat tu bana!



Wee mie PM yangu iko wazi. Hebu fanya maajabu bas lol.Nilijaribu kuja PM kwako nikakuta kumefungwa. Sasa mi nifanyeje?
Anha okayBadooo.![]()
Mi sitaki kuamini mtoto mzuri kama wewe upo singo, kwanza uko wapi?Ooh okay
Tupo mkuu, nipo najiandaa hapa kuruka na ungo.Wana selfika
Mpoo?
Usisahau kuselfika na huo ungoTupo mkuu, nipo najiandaa hapa kuruka na ungo.
Poa mkuu.Usisahau kuselfika na huo ungo