Yaap both wameanza na five years mi muoga sana ujue nataka adolescence iwakute chuoo huku chini wasijue kitu wasome seminary za masista tuuu!!wakalanduke na course work hukooo
Bora kuwahi ila nayo changamoto wanakua na utoto mwingi mnoo!
yaani akili zao sasa bora huyu mkubwa mkimyaa !ila huyu wa pili mpk walimu wanasema kaahh!!kana utoto mwingi kushtaki mda wote,kulia, kulalamika hakuna mwl asomjua
Mwaka Jana alinambia mama mi kusoma baasi sitaki,kisa hasemi,nikamlazimisha akawa anajifanya mgonjwa sasa ikabidi ntumie mbinu kumuulizia kama walimu shuleni wakoje akanambia wakali wanapiga balaa...kumbe anaogopa fimboo
ikabdi niende shule niongee na walimu nkawaambia huyu ana 7yrs tu hapo yuko std 3 wakasema daahh!ndo maana basi anabehave kitoto siye tunajua tunadeal na mtu mkubwa
wakaanza kumtreat according to her age akaanza kupenda shuel