Hii dhana au katabia ka jamii kumuona Mwanamke akifika umri fulani anastahili kuolewa ina sababisha ndoa za ajabu katika jamii yaani naolewa kwa sababu jamii itanicheka
Ni notions za watu wasiojielewa tu, sio kila mtu ataoa/ataolewa. Halafu kuna watu wana maamuzi yao tofauti na wengine, mbona wewe umesema kubanjuana sio mambo yako
Hii dhana au katabia ka jamii kumuona Mwanamke akifika umri fulani anastahili kuolewa ina sababisha ndoa za ajabu katika jamii yaani naolewa kwa sababu jamii itanicheka