Simple tu badilisheni mitazamo yenu juu ya huo utofauti (ambao hauna uhalisia) mliouweka kwenye ngono kati ya mwanaume na mwanamke! Vinginevyo endeleeni kulalamika kuwa mnabaniwa!
Sasa kwa mtindo huo tukisema eti mwanamke ampe kimasihara kila mwanaume ambaye ni rafiki yake hadi kufikia miaka 30 unafikiri idadi itakuwa ni hiyo 10? Kwamba mwanamke hadi anafikia miaka 30 atakuwa na marafiki 10 tu wa kiume eti?
Hahaha, nimetoa mfano tu mkuu. Kimasihara inakuja automatically, huwa haipangwi na sidhani mtu anaweza kutoa boko/kimasihara kila mwezi, na huwa wadada hawatoi kimasihara, ni anaamua kabisa kuwa nampa huyu...