Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha mzee wangu ukapiga salute
hao vijana watakuua usikimbizane nao siku ukirudi bongo plz check me nikupeleke kwenu tutembee na ule mkeka
Sirudii tena aisee. Hata sijui nilipatwa na nini yaani. Dogo kanyoa panki mwembamba kama Kokastiki mlegevu legevu jomonii tyuuh lakini akiikanyaga hii kitu weh!

Nitakutafuta aisee. RR kutoka Dar mpaka Mza mbona itapendeza mno? Thanks for the offer chief
 
😀😀😀 Mkuu bado hatujaingia kwenye kifungo cha ndoa.. hizi dk lazima tuzitumie inavyotakiwa haswaaa.. RR unyama sanaaa.. ni gari hasaaa navuta sana pumzi huenda nikaja kujibariki ila napenda SVR kwa ajiri ya kutimua mbioo maana ndio raha yangu gari isipo fika 240 naona kama nacheza cheza
 
Sandakarawe....

Mwenye kupata...

Mwenye kukosa....

Mitandao hii we acha tu...Akili za kuambiwa always changanya na zako
 
Hahahaaa eti kanyoa kiduku mzee.utakua ulipanic
Welcome mzee wangu Tena utaisukuma wew mashine utoe hamu zote unaipiga fimbo kweri kweri in magu voice
 
Ila kuweni waangalifu jamani. Taifa na wapendwa wenu bado wanawahitaji sana...huyu dogo wa jana mpaka niliogopa yaani. I will never do that again
 
Ila kuweni waangalifu jamani. Taifa na wapendwa wenu bado wanawahitaji sana...huyu dogo wa jana mpaka niliogopa yaani. I will never do that again
😀😀😀 Ligi zina raha yake, huwa najikuta nikiona gari inakimbia lazima nikiwashe.. nakumbuka ligi yangu ya mwisho kulikuwa na TX na VX. R mbona walijuta kunifahamu 😀😀😀😀.. sema nilipata hasara ya Tyre na mafuta kuisha haraka.. chuma za mzungu labda collision ila sio kupinduka au kuacha njia
 
kikubwa ni kukojozana, haina makombo wala haiozi. Uwiiiiih
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…