Selfika na JF: Snap it. Show it

Nenda kwenye ndoa kama wajibu, usiende kwa matarajio fulani, wakati mwingine matokeo yanakuwa tofauti sana na matarajio, ukikutana na matokeo tofauti na ulivyotarajia usijali.
Pia usikariri kwamba ndoa inakua hivi au vile kwa marejeo ya vitabu au ndoa za wazee wetu, nyakati zimebadilika mno.

Hata hivyo bado ndoa ni muhimu na nzuri pia.
 

Sijasema ndoa ikoje maana siifahamu
Kwa nilivyoshuhudia acha tu niende na mtazamo wangu .. Najua ndoa ni nzuri mno pia ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…