Selfika na JF: Snap it. Show it



Nifundishe kusema "We ni mjinga" ila kwanamna ambayo nikitabasamu mtu adhani namsifia
Hahahaaa huo umafia umeanza lini


Mie kingoni wala sikijui my dear ni hilo neno tu na ni vile kuna mabasi yanaendaga huko kusini yanaitwa tavavili niliambiwaga ni kingoni maana yake tuko wawili

Ngoja tumuite cocastic mlongo aje atufundishe
 

Inauma sana vile mwanamke anavyochukuliwa kwenye jamii . Sijui lini mambo yatabadilika , mwanamke akiachana na mumewe , watu wanaona yeye ndo mwenye makosa .. watu hawangalii kabisa tatizo lipo kwa nani .
 
Wakati mwingine inabidi 😁😁😁

Aje asaidie kuokoa jahazi 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…