Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ewaaaaah hapa sasa ndo penyeweee, [emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
asante
Mi napenda sn!
Ila sipendi za kubandika!
Moja nimekata,moja nimefuga kidogo[emoji3]na hiyo ndo rangi nayoipenda mara nyingi niko na hiyo aqua green ,sijui ndo yaitwa hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni laini hazifugiki hata, na ni panaa si kama hizo zako ziko shaped hivi, zangu kama tangawizi aki
[emoji3]jmn eti km tangawizi!
Hapana dear si una ule msasa? Uwe unatumia ule unazishap vile unavyotaka badala ya kuzikata!

Km laini sana huwa naona wanasema utumie hina ya majani kwa muda zinakua vzr!
Ila sijui km ni kweli, mi kucha zangu ni ngumu!
Lkn hina ile ya dukani au ya kuunguza sio nzuri inaharibu zinakuwa zinakatika tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom