Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
InawezekanaNi
Vile hujapata zile hati
InawezekanaNi
Vile hujapata zile hati
Acha bhas



Watu tuliokosa usingizi leoMsomali, una kucha nzuri wee![]()

Ewaaaaah hapa sasa ndo penyeweee,Ngoja nikutumie pic yangu nikiwa nje ya nguo ya kanisanimsije nikariri humu bure....taratibu
View attachment 2163445View attachment 2163446
Sent using Jamii Forums mobile app





Nimependa jinsi alivyochanganya hiyo rangi ni hinna ama picha ya piliWatu tuliokosa usingizi leo
wapenda kucha tupo wengi kumbe!
View attachment 2163451View attachment 2163452
Sent using Jamii Forums mobile app
Shimba Ya Buyenze wee babuuh haya weka selfie yako ulisema leo nikuambie utaniwekea.
Khaaa jmn!Hapo
Kwenye kizungu ni shida
Nimekuelewa

We nae nilikuwa sijakuelewa 😬😂Komaa
Ikibidi umfinyie kwa ndani
Iwe chap kwa haraka
Aiseeeeeh kucha nzuri mnoooWatu tuliokosa usingizi leo
wapenda kucha tupo wengi kumbe!
View attachment 2163451View attachment 2163452
Sent using Jamii Forums mobile app











ndo nn sasa, hebu weka bhana aaahUnazani naweza nitakuta asubuhi sms umemaliza kifurushi chako hali ya kuwa nilipitiwa na usingiziTukeshe tyuuh hapa lol.![]()
Sasa umeelewaWe nae nilikuwa sijakuelewa![]()
Tupi basi Nuzulati jamani.. na wait hapaWe nae nilikuwa sijakuelewa 😬😂
Bado Sijaolewa jmnWe si umeolewa huko? Ulishaona wifi yako hata mmoja hana kishundu?

Akiweka nistue mpendwa 😬ndo nn sasa, hebu weka bhana aaah
Ndio nimeelewaSasa umeelewa
Dah mkuu wewe😂😂Watoto kutoka Mbeya
Mna vishundu
Vilivyoenda darasani
Dadek
Ndio umeshuka na Rungwe![]()