Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Usisahau kunitag mamiii...
Asante sana jamaniKaribu
Siamini mimi jamanilakini nina uhakika tukilinganishwa mimi na wewe physically mimi ndiyo nitaonekana mkubwa kuliko wewe, amini kwamba.
Wewe nifundishe..Kwanini ufute sasa jamani?? Si unaniacha nikae nazo??
Hahaa umejuaje nilikuwa nayo. Imeisha labda nikuagizie yakoAsante sana jamani
Weka na mirinda nyeusi
Wewe nifundishe..
Nilikuwa nacheza " Yope" ndo narudi! Jamani mziki wa kucheza mwenyewe ni mzuriii
nilijua tu lazima kuna mtu atakuja kusema anatamani awe hiyo jeans, btw utakuwa umevuka borders mkuu.
Acha uchoyo jamaniHahaa umejuaje nilikuwa nayo. Imeisha labda nikuagizie yako
Picha tafadhalindiyo ukweli huo dada
Fanana sana naye...Mungu atakuwa alitumia udongo wa aina moja kuwafinyangaAbeee
Huyo mdogo wangu mimi jamani
Uje unifundishe mapozi ya kusimama mdogo wangu!