Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,407
Mimi binafsi nimekuamini kuwa ni wewe kwa asilimia zone kabisa
Safiii...unawajibu kwa picha tuNaomba tupate moja tukipata dinner mama![]()
View attachment 1248263huyo hapo sasa, memfanya mdoli kwanza
Nami nimekuja wakati muafaka. ..Wewe hutaki story mwendo wa Pic tu safi



Hivi Melo anaona kweli haya mateso?
na kinyume cha baharia ni nini eti??
kidimbwilia
Kama nawaona mabaharia wanavyotamani hata wangekuwa hiyo simu![]()



nilijua tu lazima kuna mtu atakuja kusema anatamani awe hiyo jeans, btw utakuwa umevuka borders mkuu.
Hahahah...sio hiyo jeans?