Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,492
Na vyenye pm umefunga sasa daah
Naomba nitumie jamani pls









na kinyume cha baharia ni nini eti??
Huyu mbona kafanana na mtu fodo??



kwahiyo nikaribie pm dada?? Utanikaribisha sasa??
Yaani weweee..
Sijafunga banaa, yaani mechekaaa
Hebu jiongeze hukoona kinyume cha baharia ni nini eti??
Picha yangu ya utoto hiyo
kwahiyo nikaribie pm dada?? Utanikaribisha sasa??





Nini mbaya jamani mdogo wangu mzuri mzuridaah jamani dada



haki ya nani vile kweli sijuiHebu jiongeze hukoo
Yaani sikukosea umri wako! Sio kwa maswali hayo



mimi mbona nina adabu siku zote
Leo uko na adabuuu
Ni hiyo picha ama kuko na kingine eti



unaninyima picha yako na ya Atoto
Nini mbaya jamani mdogo wangu mzuri mzuri
haki ya nani vile kweli sijui
Wanaume si wanasemaga hatutakiwi kushindana nao kwamba eti kila jina watakalojiita na sisi tunalitafutia kinyume chake







Nikikumbuka siku unaniambia mie mdogo wako, sina hamu!mimi mbona nina adabu siku zote



hapana wala, ila nasikia eti ni maharia sasa sijui kweli.
Kumbe unataka unigombanishe nao eehhh!!
Nasema hiviii, jiongeze mdogo wangu mzuri mzuri