Ndicho kinacho wamaliza,yaani mke kumpa mumewe unyumba anaona kama dhambi yaaniKwa tafiti zisizo rasmi inasemekana haya makanisa ya kilokole sjui manabii yanachangia kwa kias flani migogoro ndani ya nyumba as mke anakua busy na kanisa na anamheshimu+ kumtii nabii/mchungaji zaidi kuliko mumewe nyumbani
Hiyo ndiyo zile mtu asubuhi anaenda ofisini anatoka jioni, jioni kanisani kwa nabii Abiud mpaka saa 4 usiku anarudi home. Kesho tena circle inaendelea.
Hapo sitaki kuingilia imani ya mtu
Dogo na wew akili smtyms zipo zipo eeh ...lakini haji kuteseka dogo note thatWe kaka hebu kuwa serious bas, usitafute binti wa watu ili akulele kiumbe chako, huyo uliyezaa nae yuko wapi? Km nyie mliozaa na mnajua uchungu wa huyo mtoto mnashindwa, ila huyo asiyehusika ndo ataweza?
Labda awe ni mlezi tyuuh wa huyo mtoto wako, na umpe malipo yake km iendanavyo na hiyo kazi, ila usiwekee km mke ili tu uwin lengo lako la mwanao kulelewa n hapana.
Acheni kutesa watoto wa watu hisia zao, yaan yeye anakuja kwako kwa mapenzi na upendo juu yako, na sio kuja kubeba jukumu la mwanamke mwenzake aliyeshindwa, yeye anakuja kwako ku enjoy nafas yake kwako na muyafurahie nyie wawili, aidha km watoto mtazaa wakwenu nyie km nyie.
Sipendi hii tabia ya watu kubebeshwa mizigo isiyo yao, wee na huyo mlozaa mtoto mtafute namna gan mtoto atapata malezi bora na sahihi kwa upande wenu tyuuh, na sio kuhusisha mtu asiyehusika.
Km ambavyo single mama wanavo sakamwa na kwa single baba ni hivyoo tyuuj. Binti wa watu aje apate tabu ya kulea mtoto sio wake, vitimbwi na matatizo kila kukicha, bado gubu za ndugu mtoto anateswa woiiii. Khaaaah.
Kila mtu ashinde match zake bhanaaa. Uwiiiiiiih.
Yaani nibora akae apige magoti asali kuliko hata kukubusuHiyo ndiyo zile mtu asubuhi anaenda ofisini anatoka jioni, jioni kanisani kwa nabii Abiud mpaka saa 4 usiku anarudi home. Kesho tena circle inaendelea.
Hapo sitaki kuingilia imani ya mtu
Mtuvumilie tu! Uzuri tuko wazi wala hatudanganyitunawajua aisee, haina budi kwenda na nyie sawa tu.
Inatia hasira yaani basi, ujana wangu ulienda bure Aiseepoleeeeeeh sana.
Au amekuchoka? 🤣Yaani nibora akae apige magoti asali kuliko hata kukubusu
Hofu ya mungu wengi wanayo walokole wale deep wako static SanaEndelea kutiririka
Ila hujui tu vile walokole wako na hofu ya Mungu, utajihakikishia hamna kuchapiwa.
Wanawake mko na changamoto sana haswa mkisha olewaAu amekuchoka?
Itakuwa nyie hamshtuani kwa maajabu ya hapa na pale.
Haijalishi maajabu, uliza aliyekaa 10+ yrs bila kupiga jicho pembeni, kama yupo basi Mungu ameshamuandalia makao yake tayari.Au amekuchoka?
Itakuwa nyie hamshtuani kwa maajabu ya hapa na pale.
MajutoInatia hasira yaani basi, ujana wangu ulienda bure Aisee
Kuna wenzenu wanadanganya hasa wale wasio na utaratibu wa pete pete hizi.Mtuvumilie tu! Uzuri tuko wazi wala hatudanganyi
Toa neno nawee mzee.Kuna kitu najifunza kupitia mjadala huu
Kule shambani tulifundishwa kitu khs mijadala hii.nasoma najifunza. Tuendelee
NB : selfie tusisahau
Ombeni muangukie kuzuri, na ombeni kuolewa na wenye utu, ndoa zilizoifikia sasa ni rahisi sana kumshauri mtu asiingie kwenye ndoaKuna wenzenu wanadanganya hasa wale wasio na utaratibu wa pete pete hizi.
Atakuja, utapetiwa
Utaingia mzima na viatu vyako, ukija kushtuka ni mume wa mtuumekolea huwezi kutoka ghafla.
Na kuna wengine wanaokuwa wawazi tokea mwanzo..
Akutane na mtu anaifinyia kwa ndani, hyo soksi itakumbukwa saa ngap kuvaliwa