Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Eeeh kama wote mnajua mnadangiana sawa; sio wadanganye hawajaoa, kumbe ni Married But Availablemdango ndo fashioooooooooon!!!
Eeeh kama wote mnajua mnadangiana sawa; sio wadanganye hawajaoa, kumbe ni Married But Availablemdango ndo fashioooooooooon!!!
Nadhani, mchepuko limekaa vibaya kidogo. Wana umuhimu wao kwa kweli so tuwape heshima kwa kweliTuite Bi.mdogo Unofficial![]()
Wee una Moto![]()




sijui mama J wako huwa anakwama wapi, kupanda grade kwako lol.Njoo tunywe kahawaKoh Koh Koh ...........Kiko inanipalia jamani
Utoto mwingi yulesijui mama J wako huwa anakwama wapi, kupanda grade kwako lol.

Kuna mmona nmeona anaita friends with benefitsEeeh kama wote mnajua mnadangiana sawa; sio wadanganye hawajaoa, kumbe ni Married But Available

Unacheka eeh, Ndo usaili wenyewe huo upate visa

Nawe unalala mtupu kumbeee
Aaaah hilo la kuoa au hajaoa halinihusu, nachotaka ni kile mie ninahitaji kwake tyuuh. Unless niwe na malengo nae hapo ntaanza kufuatilia kujua km status inasoma vipi, ikiwa marriedEeeh kama wote mnajua mnadangiana sawa; sio wadanganye hawajaoa, kumbe ni Married But Available





Wanacheza na kina ma mjengoUtarogwa Wewe,
Nani akubali kuachia mjengo kisa mchepuko![]()
Ada Bei gan kungwimlete nimfunze.

Yule Ndo ikulu, huwa hatupendi masihara kabisa hapoWanacheza na kina ma mjengo
Married but available 🤣🤣🤣😂😂Eeeh kama wote mnajua mnadangiana sawa; sio wadanganye hawajaoa, kumbe ni Married But Available
Kweli wewe unatujua Wazee tunachopenda, ndiyo maana hatuachi kuoa hata tukiwa na miaka 85 kama ya Mzee mwenzangu wa Parole 🙊Njoo tunywe kahawa